.Message sent.
Kwa taarifa yako hapa Mwigulu ndio mshindi japo ana mapungufu yake mengine.Dah, Savimbi kadondoka kwa fedheha sana, ama kweli wakati si milele!
Hata yule msajili siye aliyeandika ile barua , yeye alipelekewa ili asaini tu , kama uliisoma utajua ni nani aliiandika , ni rahisi tu kufahamuZitto wa right juu ya sababu ya Mwigulu kupigwa chini ingawa "Mr.Slow slow" na vijana wengine wa Lumumba walimpinga na kumshambulia mtandaoni (twitter )
Zile sababu zingine .........
Inasikitisha sana mkuu!!Hata yule msajili siye aliyeandika ile barua , yeye alipelekewa ili asaini tu , kama uliisoma utajua ni nani aliiandika , ni rahisi tu kufahamu
mkuu ulimwona nilikuwa nacheka sana maana mambo yakiwa magumu anakuwa mtu ila yakinyooka utaona rangi yake halisiLeo nimemuona anaongea kwa upole na viongozi wastaafu kama humjui utadhani mtu
gazeti la nipashe liliandika bila kificho ( kwa mara ya kwanza ) kwamba Kilichomng'oa Mwigulu ni waraka wa KKKT , zile porojo za jana tupa kuleInasikitisha sana mkuu!!
Unaweza kuitetea hoja yako ukitakiwa ufanye hivyo???!!!Nchi hii ina wazugaji kuanzia raisi hadi wananchi wake