Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 1,211
- 230
Nami ninamtakia kila la Kheri na Ninapenda akaze buti na asiwe tegemezi kwa serikali kwani taasisi yake ni taasisi isiyo ya kiserikali.Awe mbunifu wa kufikisha taasisi yake kule tunapotegemea wengi kuiona inafika na si kulalama kwenye Vyombo Vya Habari kwa kuilalamikia serikali kama vile ni muajiri wake.Sawa KNKCU nimekuelewa. Huhitaji kuwa Einstein kujua kwamba umaskini wetu
ni wa kujitakia!!. Bahati mbaya makali ya umaskini yanawadhuru ambao hawashiriki kwenye hayo maamuzi mabovu.
Simfahamu Dr. Masau na ndio kwanza nimemsikia wiki hii. I hope kuna siku
atafanikiwa.
Mwanakijiji, ninasubiri kwa hamu mahojiano hayo.