DrWho wakati mwingine unaboa sana kama huna cha kuchangia ni afadhali kuwa msomaji tu. Umepewa articles usome hutaki labda sababu ni ndefu badala yake unakuja na maswali yako mara mia mia. Lunyungu unaweza kuja kutusaidia na huyu jamaa yako?- Hebu naomba ulete walau links zenye kuripoti kuwa Prof Masau anafanyiwa Fitna
-Kama hizo ftna zipo ni zipi?
-Zimefanywa na nani?
-Je huyo profesa kalalamika? kupitia authority zipi?
-Hizo authority zimetoa tamko gani?
-Kama si prof Masau, je hiyo THI imefanyiwa fitna vipi, na nani?
ni hayo tu kwa sasa walau tupate picha kamilimheshimiwa