Brother James
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 233
- 172
ha ha ha ha ha...Halafu tunaoongea sasa na kuanza kumwambia US atakoma tupo madongo kuinama huku Ulimwengu wa tatu kwenye dhiki tele hata kodi ya chumba kimoja kulipa ni shida.Nasoma comment za huu uzi huku nacheka sana