RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Waziri aliyepokea msaada wa chakula hicho naona ajiuzuru Tanzania hatuna shida ya chakula hasa mchele na alizeti ambavyo vimetoka Marekani.
NI aibu sana kwa taifa kuomba msaada wa chakula huku tulichonacho kinatosheleza ni bora kama mlivyozoea mungeomba hata pesa tukamaliza miradi ambayo inaenda kwa kusinyaa hasa miundo mbinu ya Barabara n.k.
Mchele wenye virutubisho tumeletewa tumieni nyie wenyewe mimi nitatumia huu niliouzoea tangu enzi za mababu zetu.
Ushauri wangu angalieni na misaada mnayoiomba iwe ya tija kwa taifa.
NI aibu sana kwa taifa kuomba msaada wa chakula huku tulichonacho kinatosheleza ni bora kama mlivyozoea mungeomba hata pesa tukamaliza miradi ambayo inaenda kwa kusinyaa hasa miundo mbinu ya Barabara n.k.
Mchele wenye virutubisho tumeletewa tumieni nyie wenyewe mimi nitatumia huu niliouzoea tangu enzi za mababu zetu.
Ushauri wangu angalieni na misaada mnayoiomba iwe ya tija kwa taifa.