Safari yangu ya Jimbo la Kilombero kwa Regia na Mteketa

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Wadau mwishoni mwa wiki(ijumaa hadi jumapili)nilikua safarini,nilikwenda Ifakara ambako ni makao makuu ya wilaya ya KILOMBERO,safari hii ilikua ni ya kibinafsi!
NILIYOYA0NA HUKO
-Jimbo la kilombero ambalo linawakilishwa na Abdul Mteketa bado lina matatizo meng sana.
1.BARABARA.tangu nimeijua ifakara ni zaid ya miaka 15,ila barabara ni tatzo,mfano kutoka Mkamba hadi Ifakara mjini ni umbali wa km 65,ila gari hutumia zaid ya saa 2 hadi 3 kutembea,hapo ndo kwa kipindi cha Kiangazi,umefika wakati wabunge wa jimbo lile wakajipinda kuhakikisha lami inawekwa,Ubovu wa barabara umesababisha kuna sehemu inaitwa Mang'ula malori zaid ya 20 yalikwama.
2.MAJI!
Wilaya ya kilombero imejaaliwa kuwa na utajiri wa maji,kun mito ming sana,kila baada ya km 5-10 kuna mto au kajimto,maji yanatiririka,ajabu maji ya Bomba ni anasa,watu wanatumia maji ya visima na mtoni,maeneo ya mjini kuna Mto Lumemo ambao haukauk maji mwaka mzima,pia nje kidogo ya mji kuna mto KIL0MBERO, tatizo ni nin hadi maji yakosekane?
3.UMEME
jaman hata kama ni mgao ila Ifakara ni too much,wilaya ya Kilombero inazalisha umeme,ila iwe kuna mgao au hakuna UMEME ni tatzo,juz ulikatka saa 10 alasiri,had jana saa 5 haujarud,
wito kwa mh.REGIA MTEMA NA PAPAA MTEKETA,WAPGA KURA WENU WANAWATEGEMEA MUWASEMEE KERO ZAO
 
Naunga mkono hoja .barara ya kutoka ifakara kwenda mlimba ni bala tupu.kutoka Mbingu mpaka Mngeta hakuna hata nguzo ya umeme miaka 50 ya uhuru tunasherekea nini hizo hela za kutengeneza kofia na tishet za miaka 50ya uhuru kwanini zisiende kuweka nguzo maeneo hayo?
 
PAMOJA. kutoka chita mpaka kihansi ni kilomita 12 umeme akuna matalajio labda 2060 .barabara mbovu alafu bungeni waziri anasema inapitika muda wote .wacha nilie kidogo .woooo.,...uwiiii mayo nene .kodi zetu za mpunga wanachua maendeleo hakuna magama HOVYOOOO
 
PAMOJA. kutoka chita mpaka kihansi ni kilomita 12 umeme akuna matalajio labda 2060 .barabara mbovu alafu bungeni waziri anasema inapitika muda wote .wacha nilie kidogo .woooo.,...uwiiii mayo nene .kodi zetu za mpunga wanachua maendeleo hakuna magama HOVYOOOO
 
Tatizo siyo mbunge, tatizo ni wananchi wenyewe kumtegemea mbunge kila kitu. Umefika wakati sasa wanasiasa wawekwe kando, watu wajipange kujiletea maendeleo yao wenyewe!! Hii tabia ya kusubiri wabunge/wanasiasa kuwafanyia kila kitu ndo matokeo yake wanajiona kama mungu watu!! Tufanyeni mikakati ya kuwapeana wenyewe mikakati na kujitolea katika huduma za maeneo yanatuzunguka.
 
yataisha tu 2015 nachukua jimbo hili kupitia chadema...awa akina regia hawakujipanga kuwa wabunge we jimbo lina matatizo lukuki regia anauliza rti nini msimamo wetu tz juu ya watu kuwa mapunga...aggh
 
Tatizo kama maji ya mto yako karibu, hawa watanzania maskini watakuwa tayari kulipia huduma ya maji ya bomba? Any investment must produce return in order to be sustainable
 
Back
Top Bottom