Siku zote watu wanaona safari za JK hazina tija, hivi watanzania tunataka yote anayokwenda kuyafanya nje yawe yanatangazwa???? Huu ni utaratibu gani na tangu lini yaliwekwa wazi kwa awamu zote zilizopita?
Hata kama hamtangazi akina kameruni wanatangaza kile kinachompeleka nje.