NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 998
Mwakasege hana kanisa mkuu,Hudhulia kanisani kwake ukajionee..
Mwakasege hana kanisa mkuu,Hudhulia kanisani kwake ukajionee..
Wengine wote mmmhhhhWalimu bora wa mafundisho ya kiroho Tanzania:-
1. Christopher Mwakasege
2. Emmanuel Munguatosha Mtui
3. Palangyo
sawa mkuu izi pesa zitawachomaIssue ya pesa ni kila mtumishi brother, mwakasege anauza vitabu vyake kwa jina la Yesu, anachangisha semina kwa jina Yesu, anauza dvd zake kwa 30000, anachangisha forms, anapokea pesa kwa njia ya m-pesa, tgo na njia nyingine zote kama watumishi wengine.
Shida SADAKA na pesa zote tunazotoa zisipotumika kwenye kazi ya Mungu ndipo hasira ya Mungu itawawakia watumishi.
Online inapatikanaje107.7 dsm au online ipo pia kama uko mbele
Natamani ushee kidogo kile Mungu alikuonyesha ili nasi tujifunzeMwakasege ni Mtumishi wa Mungu kweli kweli. Mwaka 2002 pale Dodoma Warutheri wenzake wa mtaani kwetu walianza kumsema vibaya kuwa anapenda sana sadaka na anakula peke yake. Na mimi nikaingiwa na hayo mawazo mabaya nikaanza kumchukia. Mungu alichonionesha siji kusahau,,niliogopa sana nikamwomba anisamehe. Zaidi anaheshimu madhehebu yote na dini zote, kimsingi ni wa pekee.
Umeelewa nilichoandika?Duuh,haya Kiranga,jaribu tena zama zimebadilika mwaka 1982 mpaka leo mengi yametokea katika physical na spiritual world,si kila homa ni malaria.
Ukitaka kula pesa bila jasho ni kuchezea akili za watu. Kwanza watishietishie dhambi, kifo,msiba,jehanamu lenye ziwa la moto na maneno kama 'litakapokutokea' na mengi,mengi ya aina kama hiyo.Mwakasege ni Mtumishi wa Mungu kweli kweli. Mwaka 2002 pale Dodoma Warutheri wenzake wa mtaani kwetu walianza kumsema vibaya kuwa anapenda sana sadaka na anakula peke yake. Na mimi nikaingiwa na hayo mawazo mabaya nikaanza kumchukia. Mungu alichonionesha siji kusahau,,niliogopa sana nikamwomba anisamehe. Zaidi anaheshimu madhehebu yote na dini zote, kimsingi ni wa pekee.