Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Semina iliyipita Mtumishi wa Mungu Mwalimu Mwakasege aliita wadada wenye haja ya kuolewa wapite mbele. Taarifa zinasema zaidi ya nusu ya uwanja (yaani wadada karibu wote) walipita mbele kupokea 'upako wa ndoa'.
Ningependa kujua toka kwa wahudhuriaji iwapo na mwaka huu kama ameita tena. Takwimu zikoje?
Je, idadi imepungua au imeongezeka kupita ya last year?
Ningependa kujua toka kwa wahudhuriaji iwapo na mwaka huu kama ameita tena. Takwimu zikoje?
Je, idadi imepungua au imeongezeka kupita ya last year?