Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
CCM ya kukubali kukosolewa ilikufa miaka michache kabla ya Kolimbakumbe kukosolewa ni marufuku ndani ya ccm?
CCM ya kukubali kukosolewa ilikufa miaka michache kabla ya Kolimbakumbe kukosolewa ni marufuku ndani ya ccm?
Kusema mtu akiwa CCM kalaaniwa ni upumbavu na poor thinking.Kwa hiyo ccm hakuna mwanachama wa kukikosoa chama hata Kama kinaonekana kinafanya makosa yatokanayo na wanachama wake?Mtu akiwa ktk ccm me nnaona Kama vile kalaaniwa sababu anachokiongea ni tofauti kbs,au sio akili zao!!.