PAMBA1
Member
- Sep 13, 2011
- 55
- 26
hivi hawa magamba hawataki kuona watu wazalendo wakisaidia harakati za ukombozi wa watanzania walio wengi swala la sabodo si kusaidia chadema shwala la sabodo kachangia harakati za ukombozi wa watanzania nimfano wa kuigwa hata yy mashishanga anaweza akajiunga tu katika halkati hizi.au anajipendekeza ili ateuliwe tena kuwa RC hakumbuki yy walivyomshugulikia mpaka sasa amebaki kuwa mpiga makofi vikaoni sabodo big up sanaaaaaaa wewe ni mfano wa kuigwa.