Sababu zipi zinasababisha chuchu za binti ambaye hajazaa kuanguka (yaani kuwa kama anayenyonyesha)?

Mie maziwa yakiwa ndala yananirusha stimu kabisa!! Uzuri wa missionary chuchu ziwe konzi....
 
Hakuna aliye kamilika mkuu hata wewe si ajabu una kasoro na yeye kesha iona anakuvulia. Muhimu tabia na mwonekano, if yes endelea mbeleeeeee
 
hayo ni maumbile,mi chuchu saa 6,na nikikwambia umri wangu utashangaa.
Na nina rafk/frnd wangu,ni mdogo 24 ila ziwa lake km kanyonyesha watt wa 4,na hajawah hata kutoa mimba....
So hayo ni maumbile 2

Naweza kuja kuyaona ili nihakikishe ukweli wa ulichokidadavua hapa
 
mabinti wengi wakishavunja ungo katika kile kipindi ambacho maziwa yanakuwa huwa hawapendi kuvaa bra..... hufurahia muonekano wa chuchu zake kwenye blauzi bila bra huku wakiwa hawaelewi kuwa hiyo huchangia maziwa kulala.

pia ulalaji (wakati wa usiku)... kuna ulalaji mwingine hufanya maziwa yaning'inie usiku mzima hivyo kuyachosha...... try to observe it. jaribuni kuelimisha mabinti zenu na wadogo zenu ili wasikumbwe na hili tatizo.
 
mabinti wengi wakishavunja ungo katika kile kipindi ambacho maziwa yanakuwa huwa hawapendi kuvaa bra..... hufurahia muonekano wa chuchu zake kwenye blauzi bila bra huku wakiwa hawaelewi kuwa hiyo huchangia maziwa kulala.

pia ulalaji (wakati wa usiku)... kuna ulalaji mwingine hufanya maziwa yaning'inie usiku mzima hivyo kuyachosha...... try to observe it. jaribuni kuelimisha mabinti zenu na wadogo zenu ili wasikumbwe na hili tatizo.

Hallo dadaa. Naomba unielimishe hapo katika ulalaji kwa inawezekana nami ni mhanga wa ulalaji.mbaya. Asante
 
mabinti wengi wakishavunja ungo katika kile kipindi ambacho maziwa yanakuwa huwa hawapendi kuvaa bra..... hufurahia muonekano wa chuchu zake kwenye blauzi bila bra huku wakiwa hawaelewi kuwa hiyo huchangia maziwa kulala.

pia ulalaji (wakati wa usiku)... kuna ulalaji mwingine hufanya maziwa yaning'inie usiku mzima hivyo kuyachosha...... try to observe it. jaribuni kuelimisha mabinti zenu na wadogo zenu ili wasikumbwe na hili tatizo.

we ni noumer!
 
mabinti wengi wakishavunja ungo katika kile kipindi ambacho maziwa yanakuwa huwa hawapendi kuvaa bra..... hufurahia muonekano wa chuchu zake kwenye blauzi bila bra huku wakiwa hawaelewi kuwa hiyo huchangia maziwa kulala.

pia ulalaji (wakati wa usiku)... kuna ulalaji mwingine hufanya maziwa yaning'inie usiku mzima hivyo kuyachosha...... try to observe it. jaribuni kuelimisha mabinti zenu na wadogo zenu ili wasikumbwe na hili tatizo.

Catherine hebu funguka kidogo hapo kwenye ulalaji ili uwasaidie wenzako na sisi wengine pia tupate ilim tukawafunde wapenzi wetu!
 
Last edited by a moderator:
mabinti wengi wakishavunja ungo katika kile kipindi ambacho maziwa yanakuwa huwa hawapendi kuvaa bra..... hufurahia muonekano wa chuchu zake kwenye blauzi bila bra huku wakiwa hawaelewi kuwa hiyo huchangia maziwa kulala.

pia ulalaji (wakati wa usiku)... kuna ulalaji mwingine hufanya maziwa yaning'inie usiku mzima hivyo kuyachosha...... try to observe it. jaribuni kuelimisha mabinti zenu na wadogo zenu ili wasikumbwe na hili tatizo.

umeongea vyema kabisa
 
Hallo dadaa. Naomba unielimishe hapo katika ulalaji kwa inawezekana nami ni mhanga wa ulalaji.mbaya. Asante

unashauriwa kulala kifudi fudi yaani kulalia tumbo tena usilale na bra. ulalaji wa chali yaani kulalia mgongo hufanya maziwa yalegee. chukulia mfano unaponing'iniza mkono wako hewani kwa zaidi ya lisaa ( ni lazima utalegea, kuchoka na si ajabu ukahisi maumivu)..... mkono wako utakapouwekea mkono mwingine kwa chini kuusupport utahisi auheni. hivyo hivyo kwa maziwa maana nayo ni kiungo kama viungo vingine......... pia kutomasana kunachangia maziwa kulala. kuna wanaume wengine wanatomasa maziwa utafikiri wanakanda unga wa ngano.... lol!!!! msituharibie viungo meeeeeennnn!!!
 
mabinti wengi wakishavunja ungo katika kile kipindi ambacho maziwa yanakuwa huwa hawapendi kuvaa bra..... hufurahia muonekano wa chuchu zake kwenye blauzi bila bra huku wakiwa hawaelewi kuwa hiyo huchangia maziwa kulala.

pia ulalaji (wakati wa usiku)... kuna ulalaji mwingine hufanya maziwa yaning'inie usiku mzima hivyo kuyachosha...... try to observe it. jaribuni kuelimisha mabinti zenu na wadogo zenu ili wasikumbwe na hili tatizo.

enhe kwani we ya kwako yakoje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom