CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,257
- 12,877
Hata kama, kwenu tatizo ni nini? lol!
thi huyy Kaizer ananshikia bango.... sijui ni anaona wivu mimi kukuhashua????
Last edited by a moderator:
Hata kama, kwenu tatizo ni nini? lol!
Si kweli watu wa siku hizi wanawahi kuliko zamani! Zamani ukivunja ungo tu, ndoa tayari, hapo ni 11, 12 hadi 17 sasa utasema vipi siku hizi wanawahi?
Dah, kumbe watu wananitamani saa sita yangu hapo kwenye avatar japo yanyonywa na watu wawili?
Mmh, wewe sikunyonyeshi, inaelekea una meno ya kisomali
Utanikwangua bure
thi huyy Kaizer ananshikia bango.... sijui ni anaona wivu mimi kukuhashua????
alowaambia kutoa mimba kunaangusha matiti nani?
hayo ni maumbile yake
Pengine anamaziwa kama mtungi wa gesi alitaka yasimame ili yaende wapi? mtoa mada hata simuelewi
Amekujibu Kaunga kuwa inawezekana ni maumbile, maana pia wako waliozaa na wanaonyonyesha lakini pia matiti yao hayajaanguka. Kama umempenda na umeridhika na tabia zake we endelea nae tu usije ukamtafutia visababu na kujikuta unamchukia kwa kosa lisilo lake.
nina shangazi yangu mtu mzima sa, wakati alipokuwa ananyonyesha alikuwa hanyonyeshi mbele ya mtu.....full kujifungia au kujifunika. siku moja akiwa ana mtoto wa 4 akawa yupo chumbani ananyonyesha akaniita nimsaidie kitu, jamani matiti yalikuwa kama ya mdada ambaye hata hajawahi chumbiwa, lol!Fahamu tu kwamba matiti yapo aina kwa aina, sio yote huwa yanasimama. Kuna wanawake hawajawahi kuona matiti yao yapo saa 6! So huenda kwa huyo binti pia ni issue ya maumbile tu. Usimfikirie vibaya.