LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Kwa wale wasio jua, Mlima Kilimanjaro ndio Mlima mrefu kupita yote duniani.
Kwa wale walio karirishwa la saba b watasema " Mlima Himalaya/Everest ndio Mlima mrefu kupita yote duniani"
Ni hivi Mount Kilimanjaro is the most FREE STANDING tallest mountain in the world
Mount Everest is a mountain range or a range of mountains.( Vilele vya milima vilivyo pandana au kubebana)
Mfano wake ni kama huu; kuna mtu ana meza kumi zenye urefu wa futi moja kila meza. Meza hizo atazibebanisha na kwa pamoja zitakuwa na urefu wa futi kumi.
Halafu mtu mwingine ana meza moja ndefu yenye urefu wa futi saba.
Mount Everest = meza kumi zilizo pandanishwa/ bebanishwa ambazo urefu wake jumla ni futi kumi.
Mlima Kilimanjaro = Meza moja ndefu ambayo urefu wake ni futi saba..
Ndio maana wataalamu wanasema Mount Kilimanjaro is the most tallest free standing mountain in the world.
Katika ulimwengu wa kiroho Mlima una ashiria mambo mengi mazito, moja Kati ya mambo hayo , unaashiria akili ya juu ama mamlaka ya juu zaidi..
Mlima Kilimanjaro una mambo mengi mazito sana ambayo so rahisi kuyataja yote hapa.
Kilele cha Mlima Kilimanjaro kinaashiria Mamlaka ya Juu zaidi katika uso wa sayari ya dunia.
Ndio Mlima huu ambao unatajwa kwenye biblia kama Mlima wa mashariki.
Moja kati ya taarifa za siri kuhusu Mlima Kilimanjaro ambazo malikia wa sheba aliziiba kutoka kwa mfalme suleiman na kisha kumpa mtoto wake Menelik ni kwamba Mlima.Kilimnjaro ndio physical portal inayo connect sayari dunia na:
1: Physical heavens.
2. Alliens planets ( including all planets inhabited by jinns like Planet Venus)
3. Other universes.
4. That mount kilimanjaro is the center of the universe.
5. Mlima Kilimanjaro ndipo mahali.kunako patikana kitu kinaitwa " the throne room of planet earth " ambayo ina direct connection with " the throne room of the heavens"
( Si uliambiwaga Adam alipewaga ufalme wa sayari ya dunia kisha shetani akaja kumpindua, basi kile kiti cha ufalme wa sayari ya dunia kinapatikana Mlima kilimanjaro inatajwa kwamba kina direct connection with the throne rooms of the heavens)
Mastar wanao kuja Mlima Kilimjanro they dont do that for nothing.
Ni mambo mengi yanayo uhusu Mlima Kilimanjaro hakika watu wa dini za wazungu na waarabu wangeijua siri ya Mlima kilimanjaro wasinge enda kuhiji uarabuni au israel..
Back to simba sport na kibegi.
Simba walienda juu ya kilele cha Mlima Kilimjanro kwa ajili ya kufanya tambiko/ibada maalumu kwa ajili ya kuomba mafanikio ya timu yao kitaifa na kimataifa.
Lisipo fanyika tambiko jingine zito la.ku.counter tambiko la Simba basi wanaweza kufanya maajabu mwaka huu kuanzia kitaifa ( kuwavua ubingwa Yanga) hadi kimataifa.
Milima ina mabalaa mazito sana hakuna dua/ matambiko yenye nguvu kama yanayo fanyika milimani.
Musa = alifanya dua/matambiko yake Mlimani.
Yesu = Mlimani.
Mtume = Pangoni ambako pia ni sehemu ya Mlima...
Nini kifanyike: uongozi wa Yanga lazima ufanye kitu na kitu hicho lazima kikafanyikie juu ya kilele cha Mlima Kilimjanro...
Engineer Hersi Said ongea na watu wako wa kamati ya ufundi or else mniite mbwa niko pale nimekaa
Kwa wale walio karirishwa la saba b watasema " Mlima Himalaya/Everest ndio Mlima mrefu kupita yote duniani"
Ni hivi Mount Kilimanjaro is the most FREE STANDING tallest mountain in the world
Mount Everest is a mountain range or a range of mountains.( Vilele vya milima vilivyo pandana au kubebana)
Mfano wake ni kama huu; kuna mtu ana meza kumi zenye urefu wa futi moja kila meza. Meza hizo atazibebanisha na kwa pamoja zitakuwa na urefu wa futi kumi.
Halafu mtu mwingine ana meza moja ndefu yenye urefu wa futi saba.
Mount Everest = meza kumi zilizo pandanishwa/ bebanishwa ambazo urefu wake jumla ni futi kumi.
Mlima Kilimanjaro = Meza moja ndefu ambayo urefu wake ni futi saba..
Ndio maana wataalamu wanasema Mount Kilimanjaro is the most tallest free standing mountain in the world.
Katika ulimwengu wa kiroho Mlima una ashiria mambo mengi mazito, moja Kati ya mambo hayo , unaashiria akili ya juu ama mamlaka ya juu zaidi..
Mlima Kilimanjaro una mambo mengi mazito sana ambayo so rahisi kuyataja yote hapa.
Kilele cha Mlima Kilimanjaro kinaashiria Mamlaka ya Juu zaidi katika uso wa sayari ya dunia.
Ndio Mlima huu ambao unatajwa kwenye biblia kama Mlima wa mashariki.
Moja kati ya taarifa za siri kuhusu Mlima Kilimanjaro ambazo malikia wa sheba aliziiba kutoka kwa mfalme suleiman na kisha kumpa mtoto wake Menelik ni kwamba Mlima.Kilimnjaro ndio physical portal inayo connect sayari dunia na:
1: Physical heavens.
2. Alliens planets ( including all planets inhabited by jinns like Planet Venus)
3. Other universes.
4. That mount kilimanjaro is the center of the universe.
5. Mlima Kilimanjaro ndipo mahali.kunako patikana kitu kinaitwa " the throne room of planet earth " ambayo ina direct connection with " the throne room of the heavens"
( Si uliambiwaga Adam alipewaga ufalme wa sayari ya dunia kisha shetani akaja kumpindua, basi kile kiti cha ufalme wa sayari ya dunia kinapatikana Mlima kilimanjaro inatajwa kwamba kina direct connection with the throne rooms of the heavens)
Mastar wanao kuja Mlima Kilimjanro they dont do that for nothing.
Ni mambo mengi yanayo uhusu Mlima Kilimanjaro hakika watu wa dini za wazungu na waarabu wangeijua siri ya Mlima kilimanjaro wasinge enda kuhiji uarabuni au israel..
Back to simba sport na kibegi.
Simba walienda juu ya kilele cha Mlima Kilimjanro kwa ajili ya kufanya tambiko/ibada maalumu kwa ajili ya kuomba mafanikio ya timu yao kitaifa na kimataifa.
Lisipo fanyika tambiko jingine zito la.ku.counter tambiko la Simba basi wanaweza kufanya maajabu mwaka huu kuanzia kitaifa ( kuwavua ubingwa Yanga) hadi kimataifa.
Milima ina mabalaa mazito sana hakuna dua/ matambiko yenye nguvu kama yanayo fanyika milimani.
Musa = alifanya dua/matambiko yake Mlimani.
Yesu = Mlimani.
Mtume = Pangoni ambako pia ni sehemu ya Mlima...
Nini kifanyike: uongozi wa Yanga lazima ufanye kitu na kitu hicho lazima kikafanyikie juu ya kilele cha Mlima Kilimjanro...
Engineer Hersi Said ongea na watu wako wa kamati ya ufundi or else mniite mbwa niko pale nimekaa