Sababu za kimaandiko kwanini baadhi ya waislamu wanao miliki nyumba Magomeni Na Ilala huwa hawapangishi wakiristu ( Hasa Hasa walokole)

Nimetaja Magomeni Na Ilala kwa Sababu almost 90 percent of my extended family live there.

Awali ya yote naomba Ku declare interest.

I am a Muslim but an open minded one .

Am a kind of Muslim who can listen to Jim Reeves or Boney M bila wasiwasi wowote.

Na HII ni Kwa Sababu licha ya kusomeshwa Qur'aan Tukufu lakini nimeisoma Biblia vizuri sana , Nimeisoma Talmud vizuri sana, Nimeisoma Zohar, Vedas nakadhalika...

Back to my point. Wamiliki wengi wa nyumba katika maeneo ya Magomeni Na Ilala ambao Ni waislamu huwa hawapendelei kupangisha wakiristu..

Kwao mpangaji wanae mprefer huwa ni muislamu.

Kama akiwa ni mkristu basi awe Mkatoliki

Kamwe asiwe Mlokole au Mkiristu kutoka dhehebu lolote la kikristu ambalo Lina vinasaba vya kilokole ( Yani wanao Sali kwa kukemea kama walokole etc) mfano KKKT , ANGLICAN au lile kanisa la Wasukuma ( African Inland Church)

Kama ataamua kumpangisha Mkiristu wa madhehebu ya kilokole basi iwe Ni kwenye nyumba ya Peke yake Na ambayo Ina uzio. Yani wewe Mlokole unaweza kupangishwa nyumba Na muislamu WA Ilala au Magomeni lakini nyumba ATAKAYO kupangisha lazima Kwanza iwe Ni nyumba ya wewe Peke yake Na ambayo Ina uzio ama Fensi. ( Nyumba inayo jitegemea)


SABABU NI NINI?

Marko 12:31.
MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.


Huyu muislamu hakupangishi wewe kwenye nyumba yake ambayo Ina wapangaji wengi Kwa Sababu anakupenda.

Hataki kukukwaza ( LUKA 17: 1-4)

Kwenye nyumba yake yenye wapangaji Tano Sita Saba Na kuendelea amepangisha waislamu.


. Waislamu husikiliza Qur'aan asubuhi na usiku. Waislamu husikiliza mawaidha ya ma shekhe mbalimbali. MLOKOLE AMEANISHWA KWAMBA UISLAMU NI DINI YA MAJINI. ANAPOSIKIA HATA MTU AKIONGEA TU LUGHA YA KIARABU BASI AKILI HUTAFSIRI KWAMBA MZUNGUMZAJI WA LUGHA HUYO ANAZUNGUMZIA HABARI ZA MAJINI AMBAO KWA MUJIBU WA WALOKOLE MAJINI NI AMONG THE FALLEN ANGELS.

MLOKOLE akisikia Dua inasomwa chumba cha jirani usiku wa Tisa basi ATA Amka ataanza kukemea mapepo.

In addition to that Sisi waislamu kwetu Ni Jambo la kawaida kuchoma ubani Hasa Hasa ubani Maka ( Frank Incense) In fact Kuna hadithi Moja ya Prophet Muhammad, Peace be upon him Ina sisitiza kwamba tujitahidi nyumba ama vyumba tunavyo kaa visikose kufukizwa Kwa ubani Maka Kila siku usiku.

Hapo kwenye ubani ndio more worse Kwa Sababu Kwa typical Mlokole akisikia kuhusu ubani kitu cha Kwanza anawaza ni majini waovu n.k na Mlokole akiamka usiku aka sikia chumba cha jirani Kuna chomwa ubani, atakemea huuyo .

Yani huwa wanaona kama vile ule Moshi ikiingia kwenye pia zake basi umeingia Na Pepo ndani yake..

Most of the time Mlokole huyu ataenda kugonga kwenye chumba cha jirani huyo Na kumwambia azime Huo Moshi au atakupigia simu mwenye nyumba Ku complain kuhusu Moshi WA ubani.
Mwisho WA siku huwa wanahama Na kuacha Kodi. Yani hataki hata kurudishiwa Hela Kwa Sababu anahisi kama vile Hela Zina chuma ulete kwamba Zina majini yatakayo enda kumuibia Hela ambazo Hana.

Sasa basi Kwa kuwa huyu mwenye nyumba anayajua yote haya Na hataki kukukwaza wewe Kwa Sababu anakupenda. Anataka ukae sehemu ambayo utakuwa Na Amani, unapo enda kutafuta chumba kwake, hukujibu Hakuna nafasi..

Wakatoliki hawana shida Sana Na ubani Kwa Sababu wao ubani huchomwa Hadi kanisani kwao.

Naamini walokole miaka kadhaa ijayo NAO wataanza kuwa familiar Na ubani Kwa Sababu baadhi ya wahubiri WA kilokole wameanza kuhubiri kuhusu nguvu ya ubani Na Wana maombi maalumu Kwa ajili ya kuwafungua watu vifungo mbalimbali Kwa kutumia nguvu ya ubani( KUHANI MUSSA)

Naamini program ya KUHANI Mussa baada ya miaka.kadhaa itaondoa Hali ya unyanya paa dhidi ya ubani miongoni WA WALOKOLE Tanzania.


ON SERIOUS NOTE:

Walokole kwanini mnana unyanya paa hivyo ubani? Is it not in it Bible zawadi ya Kwanza aliyopewa Mtoto YESU Na Mamajusi baada ya kuzaliwa ilikuwa UBANI MAKA NA MANEMANE?

Kwa mujibu WA mafundisho Yeni Huu ubani ambao mna unyanyapaa Na kuuita wa mapepo Ni mti ambao umeumbwa Na YESU Mwenyewe ( JOHN 1:1-4)

Mna muudhi Mwenyezi Mungu Kwa kumpa Shetani utukufu wake ( KAZI YA UUMBAJI)

God the Almighty does not like to share his glory with anything.

Vitu vimeumbwa Na Mungu ninyi mnaviita vya Shetani, it's not fair. Can u imagine hata nikivaa Pete ya Emerald, Ruby au Dhahabu nitaambiwa nimevaa Pete ya shetani wakati hizo Ruby zimeumbwa Na Mungu mwenyewe..

Ngoja Niwa kumbushe kitu kimoja hampaswi kuwa mbumbumbu wa mbinu ZA kishetani ili asije kuwashinda

(2 Corinthians 2:11)

Lucifer is very skilled in putting what you hate in what u love as well as putting what u hate in what was useful to you.

Baadhi ya vitu ambavyo Mungu aliviumba Kwa ajili ya kumsaidia binadamu Bwana Ibilisi amefanikiwa kuwahadaa baadhi ya watu kwamba Ni vya kwake yeye. Matokeo yake mna vinyanyapaa mnaacha kuvitumia vitu ambavyo kama mngevitumia vingewasaidia Sana.

Mfano Maandiko yanasema Mali,Fedha,Dhahabu Vitu vyote Ni vyake Mungu lakini shetani amefanikiwa kuwashawishi muamini vitu hivyo Ni vya kwake..

MY PREDICTION: KWA UWEPO WA WATU KAMA KUHANI MUSSA N.K MIAKA INAYO KUJA WALOKOLE WENGI WATAANZA KUONDOKANA NA ILE ROHO YA UNYANYAPAA DHIDI YA VITU VILIVYO UMBWA NA MWENYEZI MUNGU AMBAVYO SHETANI AMEFANIKIWA KUWASHAWISHI WATU WAAMINI KWAMBA NI VITU VYAKE SHETANI.

Kwa mfano miaka Kumi Na Tano iliyo pita Kuna mtu aliamini mlokole angeweza kumwaga chumvi ya upako, au mafuta ya upako kwenye duka lake?

Kuchukua mchanga nyumbani kwake kwenda kuuombea kanisani n.k?

Itafika kipindi atakuja MHUBIRI atasema Sasa Ni wakati WA kufunguliwa Kwa kutumia Dhahabu kwamba cheni ya Dhahabu au Pete ya Dhahabu inaombewa then unavaa ..

Walokole acheni kumpa Shetani umuhimu ambao Hana
Umeona raha kutusema walokole ila tungewasema nyie ugomvi!!!Hivi waislamu hamnaga kazi ya kufanya zaidi ya kuwasema na kuwakosoa wakrsto au mnadhani mkitudhalilisha kwa fedhea,utani na dhiaka tutakufa!!!Waislamu bhana mna mambo ya kitoto
 
Nimetaja Magomeni Na Ilala kwa Sababu almost 90 percent of my extended family live there.

Awali ya yote naomba Ku declare interest.

I am a Muslim but an open minded one .

Am a kind of Muslim who can listen to Jim Reeves or Boney M bila wasiwasi wowote.

Na HII ni Kwa Sababu licha ya kusomeshwa Qur'aan Tukufu lakini nimeisoma Biblia vizuri sana , Nimeisoma Talmud vizuri sana, Nimeisoma Zohar, Vedas nakadhalika...

Back to my point. Wamiliki wengi wa nyumba katika maeneo ya Magomeni Na Ilala ambao Ni waislamu huwa hawapendelei kupangisha wakiristu..

Kwao mpangaji wanae mprefer huwa ni muislamu.

Kama akiwa ni mkristu basi awe Mkatoliki

Kamwe asiwe Mlokole au Mkiristu kutoka dhehebu lolote la kikristu ambalo Lina vinasaba vya kilokole ( Yani wanao Sali kwa kukemea kama walokole etc) mfano KKKT , ANGLICAN au lile kanisa la Wasukuma ( African Inland Church)

Kama ataamua kumpangisha Mkiristu wa madhehebu ya kilokole basi iwe Ni kwenye nyumba ya Peke yake Na ambayo Ina uzio. Yani wewe Mlokole unaweza kupangishwa nyumba Na muislamu WA Ilala au Magomeni lakini nyumba ATAKAYO kupangisha lazima Kwanza iwe Ni nyumba ya wewe Peke yake Na ambayo Ina uzio ama Fensi. ( Nyumba inayo jitegemea)


SABABU NI NINI?

Marko 12:31.
MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.


Huyu muislamu hakupangishi wewe kwenye nyumba yake ambayo Ina wapangaji wengi Kwa Sababu anakupenda.

Hataki kukukwaza ( LUKA 17: 1-4)

Kwenye nyumba yake yenye wapangaji Tano Sita Saba Na kuendelea amepangisha waislamu.


. Waislamu husikiliza Qur'aan asubuhi na usiku. Waislamu husikiliza mawaidha ya ma shekhe mbalimbali. MLOKOLE AMEANISHWA KWAMBA UISLAMU NI DINI YA MAJINI. ANAPOSIKIA HATA MTU AKIONGEA TU LUGHA YA KIARABU BASI AKILI HUTAFSIRI KWAMBA MZUNGUMZAJI WA LUGHA HUYO ANAZUNGUMZIA HABARI ZA MAJINI AMBAO KWA MUJIBU WA WALOKOLE MAJINI NI AMONG THE FALLEN ANGELS.

MLOKOLE akisikia Dua inasomwa chumba cha jirani usiku wa Tisa basi ATA Amka ataanza kukemea mapepo.

In addition to that Sisi waislamu kwetu Ni Jambo la kawaida kuchoma ubani Hasa Hasa ubani Maka ( Frank Incense) In fact Kuna hadithi Moja ya Prophet Muhammad, Peace be upon him Ina sisitiza kwamba tujitahidi nyumba ama vyumba tunavyo kaa visikose kufukizwa Kwa ubani Maka Kila siku usiku.

Hapo kwenye ubani ndio more worse Kwa Sababu Kwa typical Mlokole akisikia kuhusu ubani kitu cha Kwanza anawaza ni majini waovu n.k na Mlokole akiamka usiku aka sikia chumba cha jirani Kuna chomwa ubani, atakemea huuyo .

Yani huwa wanaona kama vile ule Moshi ikiingia kwenye pia zake basi umeingia Na Pepo ndani yake..

Most of the time Mlokole huyu ataenda kugonga kwenye chumba cha jirani huyo Na kumwambia azime Huo Moshi au atakupigia simu mwenye nyumba Ku complain kuhusu Moshi WA ubani.
Mwisho WA siku huwa wanahama Na kuacha Kodi. Yani hataki hata kurudishiwa Hela Kwa Sababu anahisi kama vile Hela Zina chuma ulete kwamba Zina majini yatakayo enda kumuibia Hela ambazo Hana.

Sasa basi Kwa kuwa huyu mwenye nyumba anayajua yote haya Na hataki kukukwaza wewe Kwa Sababu anakupenda. Anataka ukae sehemu ambayo utakuwa Na Amani, unapo enda kutafuta chumba kwake, hukujibu Hakuna nafasi..

Wakatoliki hawana shida Sana Na ubani Kwa Sababu wao ubani huchomwa Hadi kanisani kwao.

Naamini walokole miaka kadhaa ijayo NAO wataanza kuwa familiar Na ubani Kwa Sababu baadhi ya wahubiri WA kilokole wameanza kuhubiri kuhusu nguvu ya ubani Na Wana maombi maalumu Kwa ajili ya kuwafungua watu vifungo mbalimbali Kwa kutumia nguvu ya ubani( KUHANI MUSSA)

Naamini program ya KUHANI Mussa baada ya miaka.kadhaa itaondoa Hali ya unyanya paa dhidi ya ubani miongoni WA WALOKOLE Tanzania.


ON SERIOUS NOTE:

Walokole kwanini mnana unyanya paa hivyo ubani? Is it not in it Bible zawadi ya Kwanza aliyopewa Mtoto YESU Na Mamajusi baada ya kuzaliwa ilikuwa UBANI MAKA NA MANEMANE?

Kwa mujibu WA mafundisho Yeni Huu ubani ambao mna unyanyapaa Na kuuita wa mapepo Ni mti ambao umeumbwa Na YESU Mwenyewe ( JOHN 1:1-4)

Mna muudhi Mwenyezi Mungu Kwa kumpa Shetani utukufu wake ( KAZI YA UUMBAJI)

God the Almighty does not like to share his glory with anything.

Vitu vimeumbwa Na Mungu ninyi mnaviita vya Shetani, it's not fair. Can u imagine hata nikivaa Pete ya Emerald, Ruby au Dhahabu nitaambiwa nimevaa Pete ya shetani wakati hizo Ruby zimeumbwa Na Mungu mwenyewe..

Ngoja Niwa kumbushe kitu kimoja hampaswi kuwa mbumbumbu wa mbinu ZA kishetani ili asije kuwashinda

(2 Corinthians 2:11)

Lucifer is very skilled in putting what you hate in what u love as well as putting what u hate in what was useful to you.

Baadhi ya vitu ambavyo Mungu aliviumba Kwa ajili ya kumsaidia binadamu Bwana Ibilisi amefanikiwa kuwahadaa baadhi ya watu kwamba Ni vya kwake yeye. Matokeo yake mna vinyanyapaa mnaacha kuvitumia vitu ambavyo kama mngevitumia vingewasaidia Sana.

Mfano Maandiko yanasema Mali,Fedha,Dhahabu Vitu vyote Ni vyake Mungu lakini shetani amefanikiwa kuwashawishi muamini vitu hivyo Ni vya kwake..

MY PREDICTION: KWA UWEPO WA WATU KAMA KUHANI MUSSA N.K MIAKA INAYO KUJA WALOKOLE WENGI WATAANZA KUONDOKANA NA ILE ROHO YA UNYANYAPAA DHIDI YA VITU VILIVYO UMBWA NA MWENYEZI MUNGU AMBAVYO SHETANI AMEFANIKIWA KUWASHAWISHI WATU WAAMINI KWAMBA NI VITU VYAKE SHETANI.

Kwa mfano miaka Kumi Na Tano iliyo pita Kuna mtu aliamini mlokole angeweza kumwaga chumvi ya upako, au mafuta ya upako kwenye duka lake?

Kuchukua mchanga nyumbani kwake kwenda kuuombea kanisani n.k?

Itafika kipindi atakuja MHUBIRI atasema Sasa Ni wakati WA kufunguliwa Kwa kutumia Dhahabu kwamba cheni ya Dhahabu au Pete ya Dhahabu inaombewa then unavaa ..

Walokole acheni kumpa Shetani umuhimu ambao Hana
Usisahau kutuita walokole makafir wana wa laana ili múfurahi zaidi🤣🤣🤣😂😂😂😂Hongereni
 
Nimesema I am an open minded person.

Kwa wanao nifahamu wanajua kwamba Mimi Ni muumini mwaminifu Na mtiifi WA Dini ya Kiafrika
Hapana kua mkweli wewe ni muafidhina wa kiislamu huna utiifu kwenye dini za kibantu!!!Uongo ni sumu kwa wabantu
 
Dini zote chanzo chake ni kimoja na mmilik ni mmoja.

Haya tunaongea kila siku humu lkn watu hawaelewi, hiv muafrika inakuwaje unamtenga na kumkebehi mwenzako kisa dini uliyoletewa?

Huyo Mungu wa dini kama alkuwa na upendo why alete imani zake kupitia ukoloni na mauwaji ya kutisha?

Dini ni ujinga na upumbavu, Muumba wa kwel hapatikan ktk hayo magenge yenu ya ibada za jumapil, ijumaa,na jmos.

Dini zote muanzilishi ni mmoja kupitia vibaraka wake yaan warumi&waarabu bila kuwasahau wahindu na takataka zingine ziitwazo dini.

Viumbe wote hao majin,malaika,wakina yesu, Allah,yehova, yahwe,elishadai, alpha&Omega, hawa woote ni kiumbe mmoja ktk uhalisia wa majina tofaut tofaut, na ndye yule aliyejivka utakatifu na kuchukua mamlaka yasiyo yake kwa kuwafanya watu wamuabudu bila wao kujua ama kwa kujua.

Dini ya kweli ambayo wanajua nini wanakiabudi na nan wanamtumikia ni hao muwaitao waabudu shetan na freemason, maana hawa wanaabudu directly kiumbe wakijuacho kuwa ni shetan, lkn nyie wengine mko brainwashed kwa uongo mliokalilishwa na viongoz wenu wa dini.

Ukiwa open minded utanielewa nini namaanisha, chunguza maandiko, chunguza history ya dunia, utagundua kuwa tunaish ktk dunia iliyojawa uongo, na ukwel unajulkana kwa kiwango kidogo sana.


View attachment 2078792
Tupe sources of ur information kaka na sisi tuelimike
 
WANAOGOPA VIBUYU VYAO VITABUTUKA MAANA YESU ANANGUVU KULIKO MUHAMAD NDIO MAANA WAKRISTO HATUPANGISHWI NYUMBA ZAO KWAKUWA ZIMEJAA USHIRIKINA MTUPU
Hili neno ushirikina maana yake ni kuabudu kiumbe badala ya mungu 1 kitendo cha kumuabudu yesu mwana wa mariyamu huo ndio ushirikina haswa ndio unafatia uchawi nk hili neno shiriki ni neno la kiarabu linapatikana kwenye qur,aan lenye maana hiyo hapo juu pamoja na kuabudu masanamu nenda kila kanisa kuna sanamu,tatizo lenu unitia kujua mambo hali yakuwa amya jui ukirisito hauna mizemo ya kutosha maneno mengi mnayo tumia yametoka kwenye qur,an najua utapinga kwa sababu uelewa wako ni mdogo
 
Umeona raha kutusema walokole ila tungewasema nyie ugomvi!!!Hivi waislamu hamnaga kazi ya kufanya zaidi ya kuwasema na kuwakosoa wakrsto au mnadhani mkitudhalilisha kwa fedhea,utani na dhiaka tutakufa!!!Waislamu bhana mna mambo ya kitoto
Kwani alie anzisha kometi hii ni muisilamu au mkirisito? soma kometi za wakiristo aone wanavio tukana
 
Nimetaja Magomeni Na Ilala kwa Sababu almost 90 percent of my extended family live there.

Awali ya yote naomba Ku declare interest.

I am a Muslim but an open minded one .

Am a kind of Muslim who can listen to Jim Reeves or Boney M bila wasiwasi wowote.

Na HII ni Kwa Sababu licha ya kusomeshwa Qur'aan Tukufu lakini nimeisoma Biblia vizuri sana , Nimeisoma Talmud vizuri sana, Nimeisoma Zohar, Vedas nakadhalika...

Back to my point. Wamiliki wengi wa nyumba katika maeneo ya Magomeni Na Ilala ambao Ni waislamu huwa hawapendelei kupangisha wakiristu..

Kwao mpangaji wanae mprefer huwa ni muislamu.

Kama akiwa ni mkristu basi awe Mkatoliki

Kamwe asiwe Mlokole au Mkiristu kutoka dhehebu lolote la kikristu ambalo Lina vinasaba vya kilokole ( Yani wanao Sali kwa kukemea kama walokole etc) mfano KKKT , ANGLICAN au lile kanisa la Wasukuma ( African Inland Church)

Kama ataamua kumpangisha Mkiristu wa madhehebu ya kilokole basi iwe Ni kwenye nyumba ya Peke yake Na ambayo Ina uzio. Yani wewe Mlokole unaweza kupangishwa nyumba Na muislamu WA Ilala au Magomeni lakini nyumba ATAKAYO kupangisha lazima Kwanza iwe Ni nyumba ya wewe Peke yake Na ambayo Ina uzio ama Fensi. ( Nyumba inayo jitegemea)


SABABU NI NINI?

Marko 12:31.
MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.


Huyu muislamu hakupangishi wewe kwenye nyumba yake ambayo Ina wapangaji wengi Kwa Sababu anakupenda.

Hataki kukukwaza ( LUKA 17: 1-4)

Kwenye nyumba yake yenye wapangaji Tano Sita Saba Na kuendelea amepangisha waislamu.


. Waislamu husikiliza Qur'aan asubuhi na usiku. Waislamu husikiliza mawaidha ya ma shekhe mbalimbali. MLOKOLE AMEANISHWA KWAMBA UISLAMU NI DINI YA MAJINI. ANAPOSIKIA HATA MTU AKIONGEA TU LUGHA YA KIARABU BASI AKILI HUTAFSIRI KWAMBA MZUNGUMZAJI WA LUGHA HUYO ANAZUNGUMZIA HABARI ZA MAJINI AMBAO KWA MUJIBU WA WALOKOLE MAJINI NI AMONG THE FALLEN ANGELS.

MLOKOLE akisikia Dua inasomwa chumba cha jirani usiku wa Tisa basi ATA Amka ataanza kukemea mapepo.

In addition to that Sisi waislamu kwetu Ni Jambo la kawaida kuchoma ubani Hasa Hasa ubani Maka ( Frank Incense) In fact Kuna hadithi Moja ya Prophet Muhammad, Peace be upon him Ina sisitiza kwamba tujitahidi nyumba ama vyumba tunavyo kaa visikose kufukizwa Kwa ubani Maka Kila siku usiku.

Hapo kwenye ubani ndio more worse Kwa Sababu Kwa typical Mlokole akisikia kuhusu ubani kitu cha Kwanza anawaza ni majini waovu n.k na Mlokole akiamka usiku aka sikia chumba cha jirani Kuna chomwa ubani, atakemea huuyo .

Yani huwa wanaona kama vile ule Moshi ikiingia kwenye pia zake basi umeingia Na Pepo ndani yake..

Most of the time Mlokole huyu ataenda kugonga kwenye chumba cha jirani huyo Na kumwambia azime Huo Moshi au atakupigia simu mwenye nyumba Ku complain kuhusu Moshi WA ubani.
Mwisho WA siku huwa wanahama Na kuacha Kodi. Yani hataki hata kurudishiwa Hela Kwa Sababu anahisi kama vile Hela Zina chuma ulete kwamba Zina majini yatakayo enda kumuibia Hela ambazo Hana.

Sasa basi Kwa kuwa huyu mwenye nyumba anayajua yote haya Na hataki kukukwaza wewe Kwa Sababu anakupenda. Anataka ukae sehemu ambayo utakuwa Na Amani, unapo enda kutafuta chumba kwake, hukujibu Hakuna nafasi..

Wakatoliki hawana shida Sana Na ubani Kwa Sababu wao ubani huchomwa Hadi kanisani kwao.

Naamini walokole miaka kadhaa ijayo NAO wataanza kuwa familiar Na ubani Kwa Sababu baadhi ya wahubiri WA kilokole wameanza kuhubiri kuhusu nguvu ya ubani Na Wana maombi maalumu Kwa ajili ya kuwafungua watu vifungo mbalimbali Kwa kutumia nguvu ya ubani( KUHANI MUSSA)

Naamini program ya KUHANI Mussa baada ya miaka.kadhaa itaondoa Hali ya unyanya paa dhidi ya ubani miongoni WA WALOKOLE Tanzania.


ON SERIOUS NOTE:

Walokole kwanini mnana unyanya paa hivyo ubani? Is it not in it Bible zawadi ya Kwanza aliyopewa Mtoto YESU Na Mamajusi baada ya kuzaliwa ilikuwa UBANI MAKA NA MANEMANE?

Kwa mujibu WA mafundisho Yeni Huu ubani ambao mna unyanyapaa Na kuuita wa mapepo Ni mti ambao umeumbwa Na YESU Mwenyewe ( JOHN 1:1-4)

Mna muudhi Mwenyezi Mungu Kwa kumpa Shetani utukufu wake ( KAZI YA UUMBAJI)

God the Almighty does not like to share his glory with anything.

Vitu vimeumbwa Na Mungu ninyi mnaviita vya Shetani, it's not fair. Can u imagine hata nikivaa Pete ya Emerald, Ruby au Dhahabu nitaambiwa nimevaa Pete ya shetani wakati hizo Ruby zimeumbwa Na Mungu mwenyewe..

Ngoja Niwa kumbushe kitu kimoja hampaswi kuwa mbumbumbu wa mbinu ZA kishetani ili asije kuwashinda

(2 Corinthians 2:11)

Lucifer is very skilled in putting what you hate in what u love as well as putting what u hate in what was useful to you.

Baadhi ya vitu ambavyo Mungu aliviumba Kwa ajili ya kumsaidia binadamu Bwana Ibilisi amefanikiwa kuwahadaa baadhi ya watu kwamba Ni vya kwake yeye. Matokeo yake mna vinyanyapaa mnaacha kuvitumia vitu ambavyo kama mngevitumia vingewasaidia Sana.

Mfano Maandiko yanasema Mali,Fedha,Dhahabu Vitu vyote Ni vyake Mungu lakini shetani amefanikiwa kuwashawishi muamini vitu hivyo Ni vya kwake..

MY PREDICTION: KWA UWEPO WA WATU KAMA KUHANI MUSSA N.K MIAKA INAYO KUJA WALOKOLE WENGI WATAANZA KUONDOKANA NA ILE ROHO YA UNYANYAPAA DHIDI YA VITU VILIVYO UMBWA NA MWENYEZI MUNGU AMBAVYO SHETANI AMEFANIKIWA KUWASHAWISHI WATU WAAMINI KWAMBA NI VITU VYAKE SHETANI.

Kwa mfano miaka Kumi Na Tano iliyo pita Kuna mtu aliamini mlokole angeweza kumwaga chumvi ya upako, au mafuta ya upako kwenye duka lake?

Kuchukua mchanga nyumbani kwake kwenda kuuombea kanisani n.k?

Itafika kipindi atakuja MHUBIRI atasema Sasa Ni wakati WA kufunguliwa Kwa kutumia Dhahabu kwamba cheni ya Dhahabu au Pete ya Dhahabu inaombewa then unavaa ..

Walokole acheni kumpa Shetani umuhimu ambao Hana
Ubani hauna shida ila udi una shida
Udi mwingi unaouzea tanzania ina mchoro ya mungu wa kihindu

Hata mashekhe hawapendi udi
 
Hili neno ushirikina maana yake ni kuabudu kiumbe badala ya mungu 1 kitendo cha kumuabudu yesu mwana wa mariyamu huo ndio ushirikina haswa ndio unafatia uchawi nk hili neno shiriki ni neno la kiarabu linapatikana kwenye qur,aan lenye maana hiyo hapo juu pamoja na kuabudu masanamu nenda kila kanisa kuna sanamu,tatizo lenu unitia kujua mambo hali yakuwa amya jui ukirisito hauna mizemo ya kutosha maneno mengi mnayo tumia yametoka kwenye qur,an najua utapinga kwa sababu uelewa wako ni mdogo
Kaka hata wewe unaongea mambo ya kusadikika aliyoyaleta Mudi hadithi zake za kiarabu!!!Na kila mmoja anaona mwenzake ana upeo mdogo!!!!Waache wamuabudu Yesu ambae ni Mungu wa wakirsto na wewe muabudu allah ambae ni mungu wa waislamu!!!!Usiwalazimishe kuamini unachoamini kaka
 
Kaka hata wewe unaongea mambo ya kusadikika aliyoyaleta Mudi hadithi zake za kiarabu!!!Na kila mmoja anaona mwenzake ana upeo mdogo!!!!Waache wamuabudu Yesu ambae ni Mungu wa wakirsto na wewe muabudu allah ambae ni mungu wa waislamu!!!!Usiwalazimishe kuamini unachoamini kaka
Ukweli ndio huo,kiswahili kinatumia maneno mengi ya kiarabu hata hiyo biblia maneno yake mengi ni ya kiarabu,miongoni mwa maneno hayo ni hili neno mshirikina maana yake kuabudu kutegemea kiumbe mfano kuabudu sanamu yesu huwezi kuwa mchawi lazima kwanza uabudu majini mfano wachungaji utumia majini kuwahadaa watu huo ndio ushirikina wenyewe,utaki lete maana ya neno mshirikina na ueleze hilo neno ni la rugha gani? Katika rugha zinazo tengeneza kiswahili
 
We muongo unajificha tu kwa sababu ya kukosa haja dini yako mbona inajulikana? hacha kujificha wewe ni mkirisito mungu wako ni yesu usifiche imani yako ndugu
Yeah upo sahii kaka Mungu wetu ni YESU na hakuna cha kubadili hilo kaka!!!Wewe kaa na Mudi pamoja na mungu wake allah hujakatazwa kaka
 
Ukweli ndio huo,kiswahili kinatumia maneno mengi ya kiarabu hata hiyo biblia maneno yake mengi ni ya kiarabu,miongoni mwa maneno hayo ni hili neno mshirikina maana yake kuabudu kutegemea kiumbe mfano kuabudu sanamu yesu huwezi kuwa mchawi lazima kwanza uabudu majini mfano wachungaji utumia majini kuwahadaa watu huo ndio ushirikina wenyewe,utaki lete maana ya neno mshirikina na ueleze hilo neno ni la rugha gani? Katika rugha zinazo tengeneza kiswahili
Biblia imeandikwa lugha zaidi ya milioni moja duniani kote kaka
 
Wanawakubali wakatoliki kwasababu hawana effect yoyote kwa mazindiko, misukule na majini yao....
Kwa ufupi Wakatoliki huwa wanasali kwa ajili ya maisha yao ya kiroho, sio kwa ajili ya kusumbua wasio wa imani yao. Wakatoliki huamini katika kulieneza neno la Mungu kwa atakayekuwa tayari, na yule asiye tayari unakung'uta mavumbi, unaondoka. Hakuna haja ya kumlazimisha mtu kwa kupaza sauti ya spika
 
Marekebisho
1. Mamajusi wa mashariki ni wasoma nyota na walikuwa wachawi. Walipeleka manemane na ubani kwa ajili ya kuichukua ile nyota na kumpelekea mfalme wa kipindi kile. Mwisho wa siku walishindwa kuichukua ile nyota
2. Manemane na yenyewe ipo upande wa shetani, sababu pesa ni Kaizari (Ceasur)
Ni kweli mamajusi walikuwa wachawi. Lakini nguvu za Mungu ziliwaongoza na wakaiona ile nyota ya mashariki, maana walikuwa wameshapotea hadi kufikia hatua ya kumuuliza Herode. Lakini pia waliisikia sauti ya Mungu na kuitii, na ndio maana walipoambiwa na Roho wa Bwana kuwa wasirudi tena kwa Herode, walitii na wakaenda kwa njia nyingine

Kwa ufupi mtu anapolitafsiri neno la Mungu anahitajika awe na upeo fulani wa elimu, hasa katika kuunganisha matukio kwa nyakati (chronologically)
 
Kama Walokole wanachukia ubani,hilo ni kosa. Hakuna dini bila ubani na udi.
Lakoni tatizo la Walokole ni kusali kwa mihemuko( mihemuko psychologists wanatuambia ni emotions). Walokole wanaamini kwamba sala itajibiwa kama wakizidisha mihemuko. Hilo ni kosa.. Sala hazijibiwi kwa sababu hizo. Waombee watu wengine,sala itajibiwa.
Lakini kama Sala zako ni za kutaka mambo yako binafsi tu, au unataka adui yako apate ajali,sala haitajibiwa na Mungu ambaye ni MUNGU WA WOTE. Unaposali kumbuka Mungu ni MUNGU WA WOTE.
.
 
Kama Walokole wanachukia ubani,hilo ni kosa. Hakuna dini bila ubani na udi.
Lakoni tatizo la Walokole ni kusali kwa mihemuko( mihemuko psychologists wanatuambia ni emotions). Walokole wanaamini kwamba sala itajibiwa kama wakizidisha mihemuko. Hilo ni kosa.. Sala hazijibiwi kwa sababu hizo. Waombee watu wengine,sala itajibiwa.
Lakini kama Sala zako ni za kutaka mambo yako binafsi tu, au unataka adui yako apate ajali,sala haitajibiwa na Mungu ambaye ni MUNGU WA WOTE. Unaposali kumbuka Mungu ni MUNGU WA WOTE.
.
Bro una low IQ, hii mihemko unayowadhihaki nayo inawapa amani na wanamuona Mungu, binafsi sitetei pande yoyote lkn walokole ndio watu sahihi wanaofanya maagizo ya Mungu muumba. Na wana nguvu ya kiroho kuliko muisilam, mkatoliki wala chchte....mm ni mkatoliki lakini biashara yangu naiombea kwa desturi ya walokole coz ndio wana nguvu spiritually....kwingne kukukera wewe sio sababu uone hawafai, spiritually you are the loser na hauna nguvu kama hawa jamaa....padri, shekhe wote hawana nguvu spiritually km hawa jamaa tunaowadhihaki....refer kipind cha NUHU wale walio mdhihaki nawafananisha na wewe bado hujajua/ hatujui tulitendalo spiritually ngonj tufe siku ya hukumu Mungu ataamua....ASANTE
 
Back
Top Bottom