bang za arusha kazini
bang za arusha kazini
NGUVU YA UMMA KAZINI...Safi sana yaani yeye kuwa mkuu wa mkoa tu anajiona kama Mungu mtu..Lazima ajifunze namna ya kuongea na watu hasa wasomi..Alikuja chuoni baada ya kuitwa lakini alipofika akasema wanafunzi hawana adabu, pili hawezi kuongea bila kipaza sauti,tatu wanafunzi wasogee mbali wanaleta jasho,ndipo wanafunzi wakakasirika nakuanza kumrushia mawe na chupa,amepata jeraha kichwani ameshonwa hospitali ya seliani.
ganja mbaya, tatizo badala ya kusoma wanashabikia siasa, na matumizi mabaya ya boom kwa kwenda viwanja , pombe na uzinzi
ganja mbaya, tatizo badala ya kusoma wanashabikia siasa, na matumizi mabaya ya boom kwa kwenda viwanja , pombe na uzinzi
Miongoni mwa watu wano Tema Pumba basi wewe ni Moja wapo, hua nafuatilia sana Michango yako na yote naona ni pumba tu
we ni m****e ngoja afariki nduguyo kwa mazingira yale ndio ujue uchungu,
Lema ni kiherehereNimemuona kwenye taarifa ya habari star akiwa amesimama na lema yeye akiwa ndani ya gari anamcheka lema,eti why umekuja chuo bila kuonana na walimu,lema akamjibu mtu kauwawa na watu wanahasira kwa nini nisiongee nao kwanza na mie nikiongozi,mkuu wa mkoa akaanza kumcheka,na lema nae akamjibu hapo hapo kuwa siko tayri kuona watu wanaonewa........jamaa ana nyodo sana na ndo hiki kinachomwangusha Rais wetu kuwapa washkj zake uraji
Mulongo ni kama Gunia hapa Arusha
Ni Halima DendegoHawa wakuu wa mikoa na wilaya wa kikwete wanajiona miungu watu,kuna mwingine anaitwa hawa dendegu vitu anavyofanya hastaili kuwa hata balozi wa nyumba kumi.
ganja mbaya, tatizo badala ya kusoma wanashabikia siasa, na matumizi mabaya ya boom kwa kwenda viwanja , pombe na uzinzi
Mulongo hana busara wala subira!
Huyu si ndio yule mkuu wa mkoa aliyefungua caravat kule monduli eti ni daraja la milioni 60. Ndio maana wanampopoa mawe....Namsifu mwanri upuuzi kama huo anawatolea nje mafisadi.Alikuja chuoni baada ya kuitwa lakini alipofika akasema wanafunzi hawana adabu, pili hawezi kuongea bila kipaza sauti,tatu wanafunzi wasogee mbali wanaleta jasho,ndipo wanafunzi wakakasirika nakuanza kumrushia mawe na chupa,amepata jeraha kichwani ameshonwa hospitali ya seliani.