msombwe
Member
- Oct 17, 2012
- 34
- 3
Ingawa ni kweli CCM itashinda ila sababu zilizoletwa na mtoa maada si za CCM ya leo, nadhani mtoa maana kafunua malengo ya ccm wakati inaanzishwa kayaanika hapa, kwa kifupi CCM imepoteza dira na haina haijui inataka kufanya nini katika nchi hii, wanachojua viongozi wa ccm ni kuwa wanataka kushika dola tena sio kama chama bali watu binafsi kupitia chama.
Sababu pekee iliyopo kwa CCM kushinda ni kukosekana kwa upinzani wa kweli, upinzani umeingia kwenye mtego wa CCM kwamba ni wagomvi na wanahatarisha amani ya nchi. Sehemu kubwa ya wakina mama na wazee ambao ndio wapiga kura wa kweli wamekuwa waoga wa upinzani, Ukiajumlisha na CCM kugawa viapande vya khanga kwa kina mama na pombe za kienyeji kwa kina baba, kipi kitazua ushindi kwa CCM.
Sababu pekee iliyopo kwa CCM kushinda ni kukosekana kwa upinzani wa kweli, upinzani umeingia kwenye mtego wa CCM kwamba ni wagomvi na wanahatarisha amani ya nchi. Sehemu kubwa ya wakina mama na wazee ambao ndio wapiga kura wa kweli wamekuwa waoga wa upinzani, Ukiajumlisha na CCM kugawa viapande vya khanga kwa kina mama na pombe za kienyeji kwa kina baba, kipi kitazua ushindi kwa CCM.