Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
Mbona chadema wenyewe hawawapendi watanzania kwa kuwaongezea mzigo wa wabunge wa kuteuliwa ambao ni ndugu/marafiki na mademu zao! Nalog off
Mbona chadema wenyewe hawawapendi watanzania kwa kuwaongezea mzigo wa wabunge wa kuteuliwa ambao ni ndugu/marafiki na mademu zao! Nalog off
Kwa shule hii aliyosoma unategemea nini?Kama hayo ndio ukweli unaoufahamu we ni mgonjwa usiyetibika hata india,hebu tumia akili na muda wako kufanya kauchunguzi kadogo acha kukurupuka jua huongei na vilaza wala wazee wa DSM na kama umetumwa kawaambie hatudanganyiki mjinga nkubwa
najua watakasirika wengi watanuna wengi watanitukana wengi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli 1:UDINI hii ya udini iko kwa kila m2 hata mbuzi analijua .naye mh zito alishawahi kusema kusema kwamba udini ulitumika sana ktk kutafuta uongozi ndani ya cdm.PIA ni chuki yao ya wazi dhidi ya uislamu na waislam[wanawachukia kikwete na mwinyi ,wanawapenda mkapa na julius] 2:UMAARUFU WA KIJINGA.hili la umaarufu limejionyesha dhahili kwa lêma kwa kitendo kujiweka gerezani kisha kutaka kulazimisha mahakama imtoe kwa nguvu[ujinga].PIA kama mtakumbuka cdm wålishawahi kuandamana kulazimisha bei ya sukari ipungue{wakati ule ilikuwa sh 2000}haikupungua .sasa bèi ya sukari 2500/=hawaandamani{wamepewa 10%} 3:HAKUNA DEMOKRASIA.hii ni pale m/kiti alipomtisha zito kwamba aondoe fomu ili mbowe acpate mpinzani. TO BE CONTINUED. Naomba kutoa HOJA.
Huyu zitto ni nyoka mdogo sana ndani ya CDM uwepo wake ni saw na uwepo wa makada wengi tu ndani ya CDM, mwambieni ahamie CCM basi ili kurudisha umaarufu wa chama chenu!Ulionena ni ukweli mtupu na utwaona humu sasa hivi wataanza kupinga bila ufahamu. Hilo l udini linajulikana sana kwani tumesahau Sumbawanga?
Umewashika pazuri, la Zitto na Mwenyekiti halina ujanja mpaka humu wanalijuwa sana, tena turufu kubwa ya Magwanda ni Zitto na wanafanya kila hila kumchokonowa, hivi wanafikiri bila Zitto wangeupata umaarufu waliokuwa nao?
"Jambo usilolijua ni kama usiku wa KIza"Ulionena ni ukweli mtupu na utwaona humu sasa hivi wataanza kupinga bila ufahamu. Hilo l udini linajulikana sana kwani tumesahau Sumbawanga?
Umewashika pazuri, la Zitto na Mwenyekiti halina ujanja mpaka humu wanalijuwa sana, tena turufu kubwa ya Magwanda ni Zitto na wanafanya kila hila kumchokonowa, hivi wanafikiri bila Zitto wangeupata umaarufu waliokuwa nao?
Mie nawapenda. Sababu ni kupata mawazo mbadala katika kila jambo linalohusu mustakabali wa taifa, ingawa kuipenda kwangu haimaanishi kuwa nakubaliana nao katika kila hoja zao... Kupokea mawazo kinzani ni afya ya akili na ya taifa linalopigania kusonga mbele na ndio maana nashabikia watu waache watoe maoni yao watakavyo lakini mwisho wa siku kila mtu aheshimike na abaki kuwa na msimamo wake!.najua watakasirika wengi watanuna wengi watanitukana wengi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli 1:UDINI hii ya udini iko kwa kila m2 hata mbuzi analijua .naye mh zito alishawahi kusema kusema kwamba udini ulitumika sana ktk kutafuta uongozi ndani ya cdm.PIA ni chuki yao ya wazi dhidi ya uislamu na waislam[wanawachukia kikwete na mwinyi ,wanawapenda mkapa na julius] 2:UMAARUFU WA KIJINGA.hili la umaarufu limejionyesha dhahili kwa lêma kwa kitendo kujiweka gerezani kisha kutaka kulazimisha mahakama imtoe kwa nguvu[ujinga].PIA kama mtakumbuka cdm wålishawahi kuandamana kulazimisha bei ya sukari ipungue{wakati ule ilikuwa sh 2000}haikupungua .sasa bèi ya sukari 2500/=hawaandamani{wamepewa 10%} 3:HAKUNA DEMOKRASIA.hii ni pale m/kiti alipomtisha zito kwamba aondoe fomu ili mbowe acpate mpinzani. TO BE CONTINUED. Naomba kutoa HOJA.
Una undugu na Mr.Gay Cameron? naona kama unayaweka sawa masaburi yako,imekuwaje tena?Nalog off
Una undugu na Mr.Gay Cameron? naona kama unayaweka sawa masaburi yako,imekuwaje tena?Nalog off
Bado sijastuka mkuu nakuona mara unakuja Tanzania mara unakwenda Uingereza!Nalog off
acha kujidanganya wewe.Hizi ni dalili ya CDM kuwa chama kitakachoongoza nchi hii come 2015!
najua watakasirika wengi watanuna wengi watanitukana wengi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli 1:UDINI hii ya udini iko kwa kila m2 hata mbuzi analijua .naye mh zito alishawahi kusema kusema kwamba udini ulitumika sana ktk kutafuta uongozi ndani ya cdm.PIA ni chuki yao ya wazi dhidi ya uislamu na waislam[wanawachukia kikwete na mwinyi ,wanawapenda mkapa na julius] 2:UMAARUFU WA KIJINGA.hili la umaarufu limejionyesha dhahili kwa lêma kwa kitendo kujiweka gerezani kisha kutaka kulazimisha mahakama imtoe kwa nguvu[ujinga].PIA kama mtakumbuka cdm wålishawahi kuandamana kulazimisha bei ya sukari ipungue{wakati ule ilikuwa sh 2000}haikupungua .sasa bèi ya sukari 2500/=hawaandamani{wamepewa 10%} 3:HAKUNA DEMOKRASIA.hii ni pale m/kiti alipomtisha zito kwamba aondoe fomu ili mbowe acpate mpinzani. TO BE CONTINUED. Naomba kutoa HOJA.
kipi kilichokufurahisha bibie?JF raha tupu.
acha chuki na waislamu wewe :A S thumbs_down: