mafiakisiwani
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 833
- 616
Cameron ashindwe na alegee.Hahahahaah anagalia mikono ya prof Lipumba inashuka chini kwa Mkulu
Cameron ashindwe na alegee.Hahahahaah anagalia mikono ya prof Lipumba inashuka chini kwa Mkulu
Kweli wewe una problem number eleven, nimekutajia hao viongozi waandamizi wote ni waislamu lakini mbona hamuishi ulalamishi? huo ndio msingi wangu wa swali sasa na wewe jenga hoja, usijibu kama upo kwenye miadhara ya Yesu alikuwa muislamu.Tuwaulize nyie! kwa kuwa hao uliowataja ni waislamu ndio maana mnalalamika mguu na kuonesha chuki zenu dhidi ya uislamu. Yaani nyie mnataka hao wote wawe wakristo ndio tatizo lenu.
sasa tumelalamika nini na hali ya kuwa hao wote ni waislamu? sisi tunachokiamini ni kuwa chadema kinaupinga uislamu bila chenga kwahiyo hatuwezi kukipenda.Kweli wewe una problem number eleven, nimekutajia hao viongozi waandamizi wote ni waislamu lakini mbona hamuishi ulalamishi? huo ndio msingi wangu wa swali sasa na wewe jenga hoja, usijibu kama upo kwenye miadhara ya Yesu alikuwa muislamu.
Inaonekana wewe huudhurii ibada misikitini na hata makongamano ya wanaojiita wanazuoni wa kiislamu huwa huudhurii, ni nani huwa analalamikia mfumo kristo? unajuwa mantiki ya mimi kukutajia viongozi wote wakuu hao ni waislamu.sasa tumelalamika nini na hali ya kuwa hao wote ni waislamu? sisi tunachokiamini ni kuwa chadema kinaupinga uislamu bila chenga kwahiyo hatuwezi kukipenda.
kwanini mkuu?
Inaonekana wewe huudhurii ibada misikitini na hata makongamano ya wanaojiita wanazuoni wa kiislamu huwa huudhurii, ni nani huwa analalamikia mfumo kristo? unajuwa mantiki ya mimi kukutajia viongozi wote wakuu hao ni waislamu.
Tupeleke watoto shule, andika hili kwenye note book yako.
ina maana viongozi washacameroniwa?Nchi ya Kamerouni hii ! Muulize hata mjomba wa Msoga
ina maana viongozi washacameroniwa?
Join Date : 18th November 2011
Huyu ni yule sheikh asiyejua kuweka herufi kubwa, baada ya vituo, maandishi kuanzia kulia kwenda kushoto, Mhariri wa An nuur
hahahaha basi kazi ipo.Mara Kibao ndo maana wengine wanacheka cheka tu
Ulionena ni ukweli mtupu na utwaona humu sasa hivi wataanza kupinga bila ufahamu. Hilo l udini linajulikana sana kwani tumesahau Sumbawanga?
Umewashika pazuri, la Zitto na Mwenyekiti halina ujanja mpaka humu wanalijuwa sana, tena turufu kubwa ya Magwanda ni Zitto na wanafanya kila hila kumchokonowa, hivi wanafikiri bila Zitto wangeupata umaarufu waliokuwa nao?
hahahaha basi kazi ipo.
acha propaganda ndugu yangu,waislamu ni waislamu tu,wote tunaamini Muhammad(SAW)ni mtume wetu na Allah (SW)ndiye aliyetuumba na hakuna hata mchukia uislamu mmoja akakuambia eti mimi nawachukia Ismailia na kuwapenda Sunni.chuki yenu ni dhidi ya uislamu,kwisha kazi.
Niambie ni lini uliwasikia Aga khan wakilalamika kunyanyaswa kwa uislamu wao? wewe piga porojo na Bakwata wenzako lakini waislamu wa ukweli ndio wanaokula good time nchi hii, wewe jiweke kwenye orodha ya kulalama kama Bakwata na thamani yako itakuja kuwa ni ubwabwa na shilling elfu 5000.
Mnapiga kelele kila kuhusu Mou wakati Aga khan wameapply mou na wamekubaliwa, nyinyi kazi ya mihadhara isiyokuwa na tija na kulalamika nonsense.
Rais Mwislamu, makamo wake mwislamu, waziri wa fedha mwislamu, mkuu wa usalama wa Taifa mwislamu, jaji mkuu mwislamu, sasa mnataka nini nyinyi viumbe?
Tuwaulize nyie! kwa kuwa hao uliowataja ni waislamu ndio maana mnalalamika mguu na kuonesha chuki zenu dhidi ya uislamu. Yaani nyie mnataka hao wote wawe wakristo ndio tatizo lenu.
mkuu, wakati mwingine hata kutukanwa na kubezwa mnajitafutia wenyewe; au labda nayo ni njia ya kujitafutia umaarufu?!
Hayo mambo uliyoyaeleza hapo hakuna jipya hata moja, yote yameshaletwa hapa jamvini yakajadiliwa, yakazungumzwa mpaka watu wakayachoka, sasa wewe ndo unaibuka nayo leo utafikiri ni mambo mapya vile! Ukitukanwa unasema umeonewa.
"Jambo usilolijua ni kama usiku wa KIza"
Mshauri Zitto aondoke CDM halfu uone nani atakufa kati ya CDM na Zitto.Yeye mwenyewe analijua ndio maana ilipokuja issue ya NCCR na Kafulila kajitetea kwa nguvu zote.Wadini ni wale wanaotaka watu wao waonekane ijapokua wana mapungufu makubwa.Walimuweka JK aonekane ni kinara ameshindwa kumpiku hata aliyemchafua kua ni fisadi na mwisho wake amebaki kuumbuka mwenyewe.Uongozi sio maneno.Kwa taarifa yako Zitto ni Opportunist na Kigeugeu ndio maana atahaha sana mpaka atakaporudi kwenye mstari na kuonyesha uelekeo sahihi.