Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,787
Sio Waafrika tu,
Hata wahindi, wachina, wajapan, Wadutch, etc
Lakini usisahau kuwa kuna vyuo vinaomba tu barua ya kutoka chuo ulichosoma , kama proof ya kuwa ulisoma masomo yako kwa lugha ya kiingereza.
Swali ni je Amewezaje kufaulu masomo yake pasipo kujua lugha ya kufundishia hayo masomo?
Lkn hao uliowataja hawajiiti ,,english speaking countries” kama Waafrika, hivyo wao ni sawa kufanya toefl kwa maana wana lugha zao, ila Waafrika mnajiita ,,english speaking” sasa kwa nini mfanye toefl (test of english as a foreign language) ?