Mnalia na RA wakati kuna munene yupo nyuma yake mnaogopa kumrushia mawe
Hawa waliopo humu kwa ajili ya Dowans tafadhali wakae na kutambua huu ujambazi una mwisho, hata Mobutu Seseko aliyekuwa ananunua majeshi ya Ubelgiji na ufaransa ulifika mwnisho na akatimkaBuchanan, Nashukuru bora umeileta hiyo, kuna jamaa wako special humu kwa ajili ya Dowans, juzi tulibishana nikawaeleza soma hiyo Mwanahalisi na wenyewe wananikazania nisome Mtanzania. Na sasa hivi watakuja!!
Hawa waliopo humu kwa ajili ya Dowans tafadhali wakae na kutambua huu ujambazi una mwisho, hata Mobutu Seseko aliyekuwa ananunua majeshi ya Ubelgiji na ufaransa ulifika mwnisho na akatimka
Mtanzania ni gazeti linalomilikiwa na New habari 2006 ambayo ni kampuni ya Rost tamu sasa ndo imepewa kazi ya kusafisha hilo.Buchanan, Nashukuru bora umeileta hiyo, kuna jamaa wako special humu kwa ajili ya Dowans, juzi tulibishana nikawaeleza soma hiyo Mwanahalisi na wenyewe wananikazania nisome Mtanzania. Na sasa hivi watakuja!!
Kubenea Kiboko
Not bad kwa kijana illiterate from Kirongwe village in Mafia amabaye hajui difference between peace talks na peace process
haya endeleeni
1. Selelii alisema kuwa yaliyotolewa hayakustahili kutolewa kwenye kikao hicho bali kwenye kitchen party-ni mambo ya mtu binafsi!
2. "Sophia Simba amesema hapa kuwa Lowasa ni mwanamme namba moja, ni mwanamme wa shoka! Akimaanisha kwamba wanaume wote akiwamo Rais, Waziri Mkuu, Wabunge na madiwani sio kitu.
3. Mimi sikubaliani naye. Labda kama ni mwanamme wa shoka katika masuala mengine." Alisema Selelii kwa kujiamini!
SOURCE: MwanaHALISI, tr 11-17/11/2009, uk 2.
- Saafi sana, unajua hata kule US, wale DEA yaani Drugs Enforcement Agents wanapotaka kuwakamata wauza Drugs, huwa na wao huwa wanashuka chini na kujifanya wauza Drugs ndio the only way ya kuwapata hawa criminals in their own game.
- Kumjibu Sophia ni lazima ushuke kwenye level yake, kama Seleli, alivyofanya hapa saafi sana.
Respect.
FMeS!
Kwenye listi ya makamanda, Mhe. Seleli ni mmoja wa makamanda wa ukweli ninaowaaminia ambao hawajazungukwa na kiwingu chochote cha uchafu.
Kubenea kiboko!