Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Mafisi-adi wanawazushia kila leo uwongo makamanda wetu! Mimi sioni Lowasa atanyanyukaje kisiasa hata kama akifurukuta vipi? Ndio maana mafisi-adi yanadai eti ripoti kama ingekabidhiwa kwa JK kwanza kabla ya kusomwa bungeni, JK angemwokoa Lowasa! Hizo sio dalili za maji kuzidi unga?
wewe siasa za bongo huzijui..unakaa na kuamini maneno ya JK..sasa kwa taarifa yako Lowassa anaweza kuja kuwa rais na kura yako moja haitamzuia kuwa hivyo