Sababu 11 za kwanini Lowassa anaweza kuwa Rais bora Tanzania

Sina Shaka anaweza Kuwa KIongozi bora zaidi na kuivusha Tanzania. Tatizo kubwa ni Afya yake ni mgogoro. na hili ndio lilipunguza sana kura zake. Naamini angekua hakuyumba kiafya uchaguzi ulopita leo tungeongea mengine
 
Sina Shaka anaweza Kuwa KIongozi bora zaidi na kuivusha Tanzania. Tatizo kubwa ni Afya yake ni mgogoro. na hili ndio lilipunguza sana kura zake. Naamini angekua hakuyumba kiafya uchaguzi ulopita leo tungeongea mengine
 
CCM hawakumkataa Bali jk,ndyo maana UKUMBI ulilipuka TUNA IMANI NA LOWASA sasa alomkataa nani,jk alikuwa na hofu ya kushughulikiwa kama edo angeingia ikulu
Wale walinunuliwa. Kama wangempenda si wangemfuata
Ile ilikuwa hela. Umenunuliwa lazima utimize wajibu. Ukishindwa urudishe hela. Wale waliimba vile ili wasidaiwe hela walizopewa.

Ndugu yenu hana uwezo wa kuwa rais. Alikataliwa chin dunian na juu mbinguni
 
Kwenye uvumilivu EL kapitiliza. Jinsi alivyo kuwa ametukanwa na chadema, kamavile kuambiwa fisadi papa, na kadhalika na kadhakika, alafu kupitia chama hichohicho akagombea nafasi ya juu kabisa ya urais kwa kupitia njia ya mkato, akiwa na watu walewale waliomtukana! Hu si uvumilivu, ni zaidi, na ndo maana wananchi hawakuweza kumpa nchi hii aiongoze. Mvumilivu hula mbivu, ukipitiliza uvumilivu unakuta zilizo oza, haziliki.
 
1.Ni mvumilivu

2.Mzalendo wa kweli

3.Ni mzoefu katika siasa za taifa hili

4.Ni mbunifu

5.Ni kiongozi imara

6.Ana ushawishi

7.Ana huruma

8.Ni mkweli

9.Ana hekima na busara

10.Ana maamuzi yenye faida kwa taifa

11.Ni mchaMungu.

Rais wetu Mpendwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kamzidi karibia sifa 43 na ndiyo maana tukashawishika kumchagua, kumweka madarakani na sasa anatuongoza vizuri na nchi inaanza kwenda ambapo Watanzania wengi tunaojitambua na wazalendo wa nchi hii tulitaka iende. Hizo sifa 11 za Edward Ngoyai Lowassa labda zitamfaa kuwa Rais wa Kenya au Mjumbe wa nyumba kumi huko Monduli lakini katika Urais amezidiwa mbali mno na Jembe letu Dkt. Magufuli.
 
Wale walinunuliwa. Kama wangempenda si wangemfuata
Ile ilikuwa hela. Umenunuliwa lazima utimize wajibu. Ukishindwa urudishe hela. Wale waliimba vile ili wasidaiwe hela walizopewa.

Ndugu yenu hana uwezo wa kuwa rais. Alikataliwa chin dunian na juu mbinguni
Ulimkataa wewe na mumeo,maana 6.2m walimkubali tena wanaume sii kama lichama lenu LA mdundiko akiba mama ndo wapiga kura
 
Kwenye hoja ya uzalendo wa kweli, ni ajabu iliyo kuu! Wenyewe walimwita fisadi. Wenyewe wanamwita mzalendo wa kweli. Angalau basi wangetueleza hiyo metamorphosis ilivyo tokea kama sio ufisadi papa.
 
Kwenye uzoefu wa siasa, si ndo huyu aliangukia pua kwa kuachia ngazi jamani. Ikitokeaga hivyo kwenye nyanja/taaluma nyingine, unafutiwa leseni kabisa. Ilikuwa ni wazo zuri kwake kwenda kuchunga ng'ombe. Alitamka hili!
 
Jifunze kufikiri, so kumsingizia mzee wetu.
ninashukuru kwa kukufikirisha ila hujanisoma vizuri, sikumsingizia mtu hapo na ukweli utabaki kuwa hivyo, kashfa zote ni kwasababu ya uluteli wake asiwe rais ndiyo ilivyokuwa kwa malechela hakufanikiwa, mizengwe mingi iliwekwa kwasababu ya uangalikana wake, nasisitiza ukatolik na ubakwata ndio sifa.
 
1.Ni mvumilivu

2.Mzalendo wa kweli

3.Ni mzoefu katika siasa za taifa hili

4.Ni mbunifu

5.Ni kiongozi imara

6.Ana ushawishi

7.Ana huruma

8.Ni mkweli

9.Ana hekima na busara

10.Ana maamuzi yenye faida kwa taifa

11.Ni mchaMungu.
Umesahau sifa ya
Wizi
Ufisadi
Na kushawishi wamasai wapewe ardhi za mababu zao
 
1.Ni mvumilivu

2.Mzalendo wa kweli

3.Ni mzoefu katika siasa za taifa hili

4.Ni mbunifu

5.Ni kiongozi imara

6.Ana ushawishi

7.Ana huruma

8.Ni mkweli

9.Ana hekima na busara

10.Ana maamuzi yenye faida kwa taifa

11.Ni mchaMungu.
Wewe siyo mtanzania na humjui lowasa bora ata mda wako ulioupoteza kuandika huu utumbo ungeenda kufanya usafi kanisani au msikitini!!! MTU anayestaili kuishi SEGEREA unasema angetakiwa kuwa RAIS
 
Hebu nieleze uzalendo wake upo wapi? Ni pamoja na kupiga madili serikalini au?... Mbili ubunifu gani aliwahi kuuonesha ukawa msaada wa taifa?, kuhusu ukweli ni wapi aliwahi kusema ukweli.... Na yapi maamuzi yenye faida aliwahi kuyafanya?........ Magufuli is the best president
 
1.Ni mvumilivu

2.Mzalendo wa kweli

3.Ni mzoefu katika siasa za taifa hili

4.Ni mbunifu

5.Ni kiongozi imara

6.Ana ushawishi

7.Ana huruma

8.Ni mkweli

9.Ana hekima na busara

10.Ana maamuzi yenye faida kwa taifa

11.Ni mchaMungu.
Rais kwenye Nchi gani hiyo? Kaza moyo tu ndugu yangu kwamba hilo jambo haliwezi kutokea JMT. Jishughulishe na kutafuta riziki yako tu ndugu yangu. Haya mambo unayoleta hapa ni upotezaji wa muda tu!
 
Kumbe bado kuna watu wana imani kua siku moja Lowasa atakua Rais inchi hii.......
dah...bado wanaweweseka hao...waliisha nunua suti za siku ya kuapishwa..tungekuwa na mawaziri 300..maRC 1500...maDC 6000 sasa hivi :)
 
Back
Top Bottom