DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
diesem Ländes werden von Lowassa fuhren..lass warten und sehen
Toa ushuhuda kwa kila point, in real life, otherwise ni njaa inakusumbua umeanza kulamba miguu yake akupe chochote!1.Ni mvumilivu
2.Mzalendo wa kweli
3.Ni mzoefu katika siasa za taifa hili
4.Ni mbunifu
5.Ni kiongozi imara
6.Ana ushawishi
7.Ana huruma
8.Ni mkweli
9.Ana hekima na busara
10.Ana maamuzi yenye faida kwa taifa
11.Ni mchaMungu.
Hana msimamo, asemacho hamaanishi!Tunauhakika gani kwamba hizo sifa hazitobadilika kama ile sifa yake moja iliyobadilika baada ya kuhamia upande wa pili?
Wa kuona michongo.Ni visionary leader
hihihihhhhhhhhi, wana ndoto za mchana haoKumbe bado kuna watu wana imani kua siku moja Lowasa atakua Rais inchi hii.......
Hana msimamo, asemacho hamaanishi!
Rejea pale dodomia, asiyenitaka sisiemu ahame yeye mi sihami!!
1.Ni mvumilivu
2.Mzalendo wa kweli
3.Ni mzoefu katika siasa za taifa hili
4.Ni mbunifu
5.Ni kiongozi imara
6.Ana ushawishi
7.Ana huruma
8.Ni mkweli
9.Ana hekima na busara
10.Ana maamuzi yenye faida kwa taifa
11.Ni mchaMungu.
CCM hawakumkataa Bali jk,ndyo maana UKUMBI ulilipuka TUNA IMANI NA LOWASA sasa alomkataa nani,jk alikuwa na hofu ya kushughulikiwa kama edo angeingia ikuluHaya Mkuu ahsante kwa marekebisho hayo. Lakin unaamin kuwa lowasa ana sifa hizo. Akili yako inaamin kuwa lowasa anaweza kuwa kiongozi bora. Kweli. Kama anaweza unajua kwa nn CCM walimkataa.
We unaamin uongoz huwa unanunuliwa.
Kwamba uongoz ni factor ya utajiri.
Watanzania huwa wanawazeje.
Mkuu mimi ninasema ukweli uliopo(Existing facts).Siwezi kufanya dhambi ya kula cha mtu ili nimsifie, hiyo haitokaa itokee never na namuomba Mungu aniepushie mbali kabisa. Wapo waliobeba watu migongoni na wakavalisha wakubwa soksi na na kiwafungia kamba za viatu na wewe unawajua mwisho wakapewa walichokitaka, Walalamikie hao sio mimi. Kitega uchumi Changu cha kuuza mitumba kinanitosha sana.Toa ushuhuda kwa kila point, in real life, otherwise ni njaa inakusumbua umeanza kulamba miguu yake akupe chochote!
teh teh teh,nimeipenda hiyo mkuuWa kuona michongo.
Which vision? Angekuwa na vision - angekuwa pale Ferry ndani ya nyumba NyeupeNi visionary leader
CCM hawakumkataa Bali jk,ndyo maana UKUMBI ulilipuka TUNA IMANI NA LOWASA sasa alomkataa nani,jk alikuwa na hofu ya kushughulikiwa kama edo angeingia ikulu
Okei, good for you, ila lowassa hana hizo sifa ndo maana wananchi walimkata tena ktk uchaguzi uliopita.Mkuu mimi ninasema ukweli uliopo(Existing facts).Siwezi kufanya dhambi ya kula cha mtu ili nimsifie, hiyo haitokaa itokee never na namuomba Mungu aniepushie mbali kabisa. Wapo waliobeba watu migongoni na wakavalisha wakubwa soksi na na kiwafungia kamba za viatu na wewe unawajua mwisho wakapewa walichokitaka, Walalamikie hao sio mimi. Kitega uchumi Changu cha kuuza mitumba kinanitosha sana.
Kwani kutohama chama ni uzalendo? Angekua amehama nchi hapo sawa.
ARBEIT MACHT FREI! magufuli ni VIGELEGELE! VIGELEGELE WATZ!! TUCHAPE KAZI!diesem Ländes werden von Lowassa fuhren..lass warten und sehen