Sababu 10 za kuwachukia madaktari

:shocked: Heee. Hii kali! kutojiamini ni shida sana katika maisha. Mtoa mada even if you are given 100 yrs moreto live, you will never be an MD NEVER!!Inabidi tu uheshimu ma MD bana!!!
 
lakini Dr.Mo malalamiko dhidi yenu yanaongezeka kila siku....dont you think there is something wrong huko hospitalini especially gov hospitals??honestly sijawahi kwenda hospitali ya serikali nikatoka nimeridhika na huduma lazima kuna kitu tu lazima kitaenda hovyo aidha kauli/huduma za nesi au DR....kuna vitu havihitaji vifaa wala nini ni huduma tu na dedication ya ufanyacho...mara ngapi watu wanakufa kwa uzembe wa madaktari?wanafanyiwa operation viungo sio? nawajua maDR wengi wazuri tu nimesoma nao,kaka zangu lakini mjirekebishe,wachache wanaharibu...
...mimi nimesoma na madaktari wengi nafanya kazi na madaktari wengi...wazuri...wapo commited.....nimefanya kazi wodi ya akina mama, watoto na nyingine...hospitali za serekali...hizo operation za kupasua vitu sio sijaziona...sijafanya mimi...tatizo ninyi mnachanganya personality za watu na kazi...ukizungumzia lugha na uvivu makazini.....si hospitali.....WATANZANIA WENGI(wanasiasa, walimu, madaktari makonda, wanasiasa, polis nk) tuna tabia ya uvivu ipo kwenye damu.ni maradhi makubwa kwa taifa hili....watu wanakuwa chap chap wakati wa kuopmba kazi akiipata inakuwa msala hawataki kufanya kazi ningekua na uwezo ningekukaribisha uone watu wanavyoomba ED..tuna Uvivi wa KUFIKIRI na KUTENDA inabidi tubadilike kama taifa...si kulabel madaktari.....kuna maswala mengine kama ya ngono nini...mazingira...lakini nani ambaye afanyi ngono...maana watanania tuna unafki kuna mijitu inajidai memea mbele ya watu lakni nin ngono kwenda mbele tena na vibinti vidogo...sema ni siri ya kila mtu....so mambo mengine ni kama KANSA kwa watanzania inabidi tubadilike na TUBADILI MITAZAMO yetu kama TAIFA
 
Naona mnamshambulia tu mtoa mada, na wengi wamekazana oh kamegewa mke wake, kwahiyo mnakiri madaktari wana hulka hii ya kuwaomba mapenzi wagonjwa?. Kuna jambo hapa la kujadiliwa na siyo kebehi tu.
 
mkuu naona unachuki binafsi na madakatari,hawa watu ni muhimu sana katika jamii pamoja na mapungufu machache katika baadhi yao,hivyo tunapaswa kuwaheshimu na kuwatia moyo,thread yaki ni yakipuuzi na haijengi

mkuu na hawa wankesha wakipiga doria na wanapigwa baridi wakati wewe umelala wakiacha kuna watu wababe sana pengine hata usingekuwepo hawa si wengine ni polisi na wanajeshi
na huyu anakufundisha ukiwa kama kichaaa na hatimae unajielewa duuuu kweli kuna makazi mengine shida kweli nao tunawaita walimu
NOTE: kila mtu ana umuhimu wake swala ni kumheshimu kila mfanyakazi bila kujali yupo wizara gani asingekuwepo na wewe hiyo kazi yako huwezi kufanya kazi kwa usalama zaidi
 
:shocked: Heee. Hii kali! kutojiamini ni shida sana katika maisha. Mtoa mada even if you are given 100 yrs moreto live, you will never be an MD NEVER!!Inabidi tu uheshimu ma MD bana!!!

Teh teh! Niwe md ili iweje? Niwe ----- kama wewe? Sina muda mchafu wa kusoma vitu vya mabwege wasio na ubunifu katika maisha.
 
...mimi nimesoma na madaktari wengi nafanya kazi na madaktari wengi...wazuri...wapo commited.....nimefanya kazi wodi ya akina mama, watoto na nyingine...hospitali za serekali...hizo operation za kupasua vitu sio sijaziona...sijafanya mimi...tatizo ninyi mnachanganya personality za watu na kazi...ukizungumzia lugha na uvivu makazini.....si hospitali.....WATANZANIA WENGI(wanasiasa, walimu, madaktari makonda, wanasiasa, polis nk) tuna tabia ya uvivu ipo kwenye damu.ni maradhi makubwa kwa taifa hili....watu wanakuwa chap chap wakati wa kuopmba kazi akiipata inakuwa msala hawataki kufanya kazi ningekua na uwezo ningekukaribisha uone watu wanavyoomba ED..tuna Uvivi wa KUFIKIRI na KUTENDA inabidi tubadilike kama taifa...si kulabel madaktari.....kuna maswala mengine kama ya ngono nini...mazingira...lakini nani ambaye afanyi ngono...maana watanania tuna unafki kuna mijitu inajidai memea mbele ya watu lakni nin ngono kwenda mbele tena na vibinti vidogo...sema ni siri ya kila mtu....so mambo mengine ni kama KANSA kwa watanzania inabidi tubadilike na TUBADILI MITAZAMO yetu kama TAIFA

punguza jazba Dr....hamna aliesema wewe ndio umefanya hizo operation,kama hujaziona hujasikia sawa ila wengi wanajua kesi moja ya mgonjwa wa goti kapasuliwa kichwa and vice versa kesi za aina hio zipo nyingi sema wabongo kama kawaida wanakwambia tunamwachia Mungu,personally nina rafiki kawa crippled kwa operation hapo muhimbili shit happen kaka
logically unakubali mapungufu ya madokta ila unaleta excuse eti watanzania wengi wavivu sio madokta peke yao,two wrongs dont make a right...leo tunazungumzia madokta habari ya makonda sijui nani wavivu hio ni siku ingine,tunawathamini na kuwaheshimu sana badilikeni....madokta wazuri wapo wengi ila wabovu hatutaacha kuwasema
 
Mwisho napenda kuwaambia wadau wote kuwa, Dunia ilivyo kwa sasa hatuna madaktari, siyo tanzania wala marekani wala uropa, ni fani ya kishamba wanaosoma watu wasioweza kusurvive dunia ya kweli..na nitakapoumwa, nitajitibu, ikishindikana, nitaexpire kwenda ulimwengu mpya...

Diagnosis: Multiple Personality Disorder
 
kukosa nafasi ya kwenda kusomea udaktari isiwe nongwa, jipange mwakani ujaribu tena.
Unaleta hekaya za sunguru, sizitaki mbichi hizi.
 
Akujue kwa lipi? We si daktari tu? Lofa kabisa? Daktari ni pimbi tu hauna jipya
......wewe lofa unawajua...? lofa ni kama wewe ..unalialia na madaktari....unaleta...ushamba wa kitoto ....ningeekutana na wewe ana kwa ana .....usingetamani tamani madaktari tena....ndo ungejua si wengine ni wauni kweli....fa wewe
 
punguza jazba Dr....hamna aliesema wewe ndio umefanya hizo operation,kama hujaziona hujasikia sawa ila wengi wanajua kesi moja ya mgonjwa wa goti kapasuliwa kichwa and vice versa kesi za aina hio zipo nyingi sema wabongo kama kawaida wanakwambia tunamwachia Mungu,personally nina rafiki kawa crippled kwa operation hapo muhimbili shit happen kaka
logically unakubali mapungufu ya madokta ila unaleta excuse eti watanzania wengi wavivu sio madokta peke yao,two wrongs dont make a right...leo tunazungumzia madokta habari ya makonda sijui nani wavivu hio ni siku ingine,tunawathamini na kuwaheshimu sana badilikeni....madokta wazuri wapo wengi ila wabovu hatutaacha kuwasema
.....narrow minded...mgu kapasuliwa kichwa...mafano mwingine...?
 
wana JF nawapenda sana madakari na nina marafiki zangu ni madaktari wenye MD! lakini kiukweli wapo madaktari WACHACHE wasiotambua nafasi zao katika jamii hasa wa kizazi hiki! Wapo waganga wenye MD lakini leo hii wanashiriiana na wafamasia kuuza dawa kwenye maduka makubwa ya watu binafsi zinazotolewa na MDS mara tu zinapofika kwenye kituo husika? utu upo wapi? mnasemaje kuhusu madaktari wenye MD wanakwenda kwenye hospitali za wilaya na mikoa wanashindwa kufanya hata operesheni na kuzidiwa hata na medical attendat na CO au MA wenye uzoefu wa kutosha na daktari anabaki kujisifia na MD yake? kuna mahali wamepotoka tuwasaidie.....................
 
Fani ya udaktari ipo tangu zama za kale kama zilivo fani nyingine kama uandisi au uanasheria au utoza ushuru..lakini nina sababu zangu personal kabisa zakinifanya kuwachukia madaktari specifically,
1. Wanahisi wana akili kuliko kila mtu. Uchinguzi unaoneasha kuwa, asilima karibu 95% ya binadamu waliopimwa na kuonekana na IQ kubwa hawaipendi wala hawaitukuzi hiyo fani. Slow thinkers.

2. Ni watu wazembe sana kimaisha. Ni fani ya watu wasio na uwezo wakuhustle. Yani wazembewazembe kutafuta.
3. Wanajiona kama miungu watu kisa wananyenyekewa na watu desperate wenye matatizo.
4. Wanategemea hela kutoka kwa watu wasio na uelewa, na maskini.
5. Wanapenda kuonekana wanafanya kazi ya tabu sana wakati walitaka wenyewe na wamesoma taratibu za utabibu.
6. Wengi ni average katika kila nyanja ya maisha..walifeli form 6 wakaenda urusi au imtu au kcmc au vichochoroni, wengine hata form 4 walifeli wakawa maclinical officers baadae wakajiendeleza wakawa ma md..mabwege wote hao..
7. Washamba
8. Wanalewa sifa za kijinga..wanaona dili kuvaa mikoti yao myeupe, kunyenyekewa..
9. Waigizaji
10. Hawatambui kuwa kazi yao ni wito..daktari wakweli anajitoa na kamwe haweki pesa mbele. Daktari wa kweli anauwaza utu wa binadamu na huduma yake ni ibada mbele ya Mungu ni mission. sasa mapimbi weru wa sikuizi dunianiii..

Mwisho napenda kuwaambia wadau wote kuwa, Dunia ilivyo kwa sasa hatuna madaktari, siyo tanzania wala marekani wala uropa, ni fani ya kishamba wanaosoma watu wasioweza kusurvive dunia ya kweli..na nitakapoumwa, nitajitibu, ikishindikana, nitaexpire kwenda ulimwengu mpya...wengine ongezeni list
**nimekumbuka, sababu bonus, siwapendi kwasababu hawapendani. kumbuka yule mwenzao anang'olewa kucha wao wanapiga kazi!!how stupid, yani majinga hata strategies hayana alafu kuna mijitu inawasifia wanaufahamu! Upi? Ata wao kwa wao hawapendani. Hawana misimamo, hawana lolote. Tupa kule

We wachukie tu, but one day you will be their client and by that time you will be Quiet... Unayoyasema ni mapungufu ya mtu na mtu ambayo yapo kila sehemu sio kwa madr tu hata huko kwenu yapo. Sio kila anayefanya kazi hosp ni dr au nesi.
 
Ukisoma juujuu unaeza ukasema we ni mtu wa maana saana lakini ukitafakari kwa kina sana unakuja kungundua wewe ni bonge la pimbi! Sio kisa unabeef zko mwenyw ndo unaamua kutunga hoja zako za kipumbavu...1.ingekua madaktari hawana akili basi kila mtu alietaman angesoma lakini wapo wengi wameshindwa 2.hao madaktari wanaotembea na f2,3,4 ni wa kwako bro! Yaani kwa kifupi huna upeo kabisaa,we ni kilazaaaa...sorry sana!
 
Hauwez kuwa timamu we m2 kila fani ina umuhimu wake hata wewe pia kuna wa2 wanakuona mbulula 2 jaribu kuheshmu kaz za wa2
 
.....narrow minded...mgu kapasuliwa kichwa...mafano mwingine...?

wewe ndio maana huyo mtoa mada kakuchemsha....kama maDR wenyewe ndio wewe mtoa mada hajakosea...hata huna skill za kuongea na watu narrow minded...sasa si unakutana na wagonjwa aina zote....wewe sio DR otherwise ungejua mgonjwa mliempasua kichwa badala ya mguu...i hv a friend yuko crippled kwasababu ya incompetence yenu....kwa taarifa yako nina rafiki DRs kibao na ni wazuri sana ila wabovu mpo
 
......wewe lofa unawajua...? lofa ni kama wewe ..unalialia na madaktari....unaleta...ushamba wa kitoto ....ningeekutana na wewe ana kwa ana .....usingetamani tamani madaktari tena....ndo ungejua si wengine ni wauni kweli....fa wewe

DR punguza jazba mjibu kwa point atakuelewa...sasa unatisha wagonjwa tena tutafika!
 
Sio kila mtu aliye hospitali ni dactari we umevurugwa na manes au mlinzi wa hospitali kwa kuwa akili yako matope"brain abcess" kakudanganya yy doc ukampa mke na pesa akakuchakachua .....kila fani ina watu wabaya na wazur ndo ubinadam huw hakuna malaika dunian
 
Back
Top Bottom