Sababu 10 za kuwachukia madaktari

7 SIGNS OF INFERIORITY COMPLEX


Inferiority complex is a feeling of not being competent in any given activity; it is a personal feeling of inadequacy arising from the overcompensation of other’s achievements /goals over yours.
Inferiority complex could also be said to be a conflict between the desire to be recognized and appreciated and the apprehension or anxiety of being humiliated. This feeling is often subconscious.


The seven (7) signs you have to watch out for to determine when you are exuding the feeling of inferiority complex are vividly enunciated in the subsequent paragraph(s).


1. Hypocritical Attitude (H.P.): People who do not feel alright about themselves have problem feeling good about others. They would always look out for loopholes in people’s endeavours to try to convince themselves that they are not bad at all. These people cannot feel comfortable as being attractive, intelligent and competent, e.t.c., they will only have the feeling of being good provided they are only one around exuding the aforementioned qualities.


2. Tendency Towards Blaming (T.T.B.): Some people project their weaknesses onto others in order to lessen and ameliorate the pain of inferiority. For instance, if a person shows his weaknesses or inadequacy to others in order to prompt them to noticing it, so that his perceived incompetence can be justifiable by his short story of woe. This is just a step towards giving the responsibility of their failures to others.


3. Feeling Of Persecution (F.O.P.): when carried to the extreme, blaming others can extend to believing that others are actively seeking to ruin you. If a student fails an exam he sat, it may comfort him to believing that his teacher hates him and would do anything to hurt him. This will only allow him to avoid personal responsibility for his action.


4. Inappropriate Response To flattery (I.R.F.): This works in two forms. Some may refuse to listen to anything positive about themselves because it is inconsistent with their interior feelings. Others may be desperate to hear anything good about themselves and constantly fishing for compliments.


5. Sensitivity To Criticism (S.T.C.): Although people who feel inferior ‘know’ they have shortcomings, they do not like other people to point this out. They tend to perceive any form of criticism, regardless of how sensitively and constructively it is presented, as a
personal attack.


6. Tendency Towards Seclusion And Sensitivity (T.T.S.S.): Because people with an inferiority complex believe that they are not as interesting or intelligent as others, they believe other people have the same feeling about them. So they tend to avoid speaking up in public because they believe doing so will create an embarrassing demonstration of their ineptitude.


7. Negative Feeling About Competition (N.F.A.C.): People who have inferiority complex like to win games and contests as others, but they will always avoid such situation because deep down, they know they cannot make an head way. Not coming first is an evident evidence of otal failure.


Do not worry if you have all or some of these signs, you can bring it to the barest minimum by telling yourself that no one is perfect, and that a mistake made is a correction gotten.
...nashukuru kwa shule
 
hivi ule ugomvi wenu na yule dokta kisonso bado haujaisha?

ila alichokufanyia yule dokta sio kabisa hatawezaje kumla kiboga demu wako alafu hajisifu
 
Huu uzi umenifanya nijisikie vibaya sana;
Sina chuki na daktari yeyote ambaye nilishawahi
kukutana naye.

Nawaamini na kuwapenda pia;

........... Aise sijui ni kwanini natamani hata nilie.
usilie sisi kuanzia kwa wiki lazima tukutane na watu kama hawa wawili....unaweza kuta mtu mwingine kaja hosp....anaanzisha shari nini....lakini sasa pia naanza kupata picha....kuanzia zile kashfa za global publisher za kumimic appendicitis na ...vitu kama hivi.....mi iliyonisikitishs ni hiyo kwamaba wengi maskini....ni kweli....
 
Hawa jamaa wanaringa sana japo sio wote...waliopo hospitali za serikali mimi nawachukia sana ila kwa wale wa private big up..
 
Nasikia Tanzania hatuna madaktari tuna waganga njaa tu..

Madaktari wa kweli wapo Millpark south Africa na Apollo India..

Serikali yenyewe ndio inasema hivyo sio mimi jamani..

Ulimboka tu daktari mwenzao walishindwa kumtibu wakampeleka millpark, mvungi, manumba, na wengineo wengi ni mfano hai kwamba Tanzania hatuna madaktari..
......vifaa vya kutosha vipo eeehe na mzingira ya hospitali na vyuo vya medicine ni mazuri eehe...? haya bana wewe mjanja sana
 
Fani ya udaktari ipo tangu zama za kale kama zilivo fani nyingine kama uandisi au uanasheria au utoza ushuru..lakini nina sababu zangu personal kabisa zakinifanya kuwachukia madaktari specifically,
1. Wanahisi wana akili kuliko kila mtu. Uchinguzi unaoneasha kuwa, asilima karibu 95% ya binadamu waliopimwa na kuonekana na IQ kubwa hawaipendi wala hawaitukuzi hiyo fani. Slow thinkers.

2. Ni watu wazembe sana kimaisha. Ni fani ya watu wasio na uwezo wakuhustle. Yani wazembewazembe kutafuta.
3. Wanajiona kama miungu watu kisa wananyenyekewa na watu desperate wenye matatizo.
4. Wanategemea hela kutoka kwa watu wasio na uelewa, na maskini.
5. Wanapenda kuonekana wanafanya kazi ya tabu sana wakati walitaka wenyewe na wamesoma taratibu za utabibu.
6. Wengi ni average katika kila nyanja ya maisha..walifeli form 6 wakaenda urusi au imtu au kcmc au vichochoroni, wengine hata form 4 walifeli wakawa maclinical officers baadae wakajiendeleza wakawa ma md..mabwege wote hao..
7. Washamba
8. Wanalewa sifa za kijinga..wanaona dili kuvaa mikoti yao myeupe, kunyenyekewa..
9. Waigizaji
10. Hawatambui kuwa kazi yao ni wito..daktari wakweli anajitoa na kamwe haweki pesa mbele. Daktari wa kweli anauwaza utu wa binadamu na huduma yake ni ibada mbele ya Mungu ni mission. sasa mapimbi weru wa sikuizi dunianiii..

Mwisho napenda kuwaambia wadau wote kuwa, Dunia ilivyo kwa sasa hatuna madaktari, siyo tanzania wala marekani wala uropa, ni fani ya kishamba wanaosoma watu wasioweza kusurvive dunia ya kweli..na nitakapoumwa, nitajitibu, ikishindikana, nitaexpire kwenda ulimwengu mpya...wengine ongezeni list

Ukikua utaacha
 
using'ang'anize hilo ulisemalo..na alicho kiongea mtoa mada kama dukuduku lake nikweli kabisa hilo liko wazi,mimi naweza kukwambia kwenye madaktari kumi wa kibongo unaweza usipate hata mmoja mwenye wito wengi walienda kusoma kwa sifa ilimtaani waonekane au jamii iwatambue wao kinanani...!!nilishafanya kazi nao zaidi ya miaka mitano haya yote yanayosemwa nimeya experience kuto kwako

kubwa zaidi wanajifanya wanajua kushinda kila mtu kwenye hii duinia
wengi huwa mnasema hivyo...sijui kwa nini nimefanya nao kazi nawajua......maisha ni magumu...lakini mimi nmekaa muhimbili sijawahi kuona dr maskini....au umaskini definition yake ninini..?
 
Naunga mkono hoja kwa 50%. Madaktari wengi, hasa ktk hosp za srkali ni MAPIMBI sana. Walinusurika kumuua rafiki yangu mmoja na nimeshuhudia wagonjwa wakifa mbele yao kwa 7bu tu ya ugoigoi na kutokujali kwao. Madaktari wa serikali ni xma kuliko mnavyoweza kudhani....msiwe mnawatetea tu kabla ya kufanya utafiti. Ushahidi zaidi nitautoa hv punde.
...aisee tunasubiri ushaidi....
maana unaonekana mjanja wewe sio pimbi wala kima
 
Hakuna asie na matatizo na madaktari nao ni watu vilevile ila mada yako umeileta kichuki sana!
...ni kweli kabisa....hasa hili la umaskini na Africa yetu hii....Africa nani ambaye sio maskini...!
 
MyPortalFiles
 
Fani ya udaktari ipo tangu zama za kale kama zilivo fani nyingine kama uandisi au uanasheria au utoza ushuru..lakini nina sababu zangu personal kabisa zakinifanya kuwachukia madaktari specifically,
1. Wanahisi wana akili kuliko kila mtu. Uchinguzi unaoneasha kuwa, asilima karibu 95% ya binadamu waliopimwa na kuonekana na IQ kubwa hawaipendi wala hawaitukuzi hiyo fani. Slow thinkers.

2. Ni watu wazembe sana kimaisha. Ni fani ya watu wasio na uwezo wakuhustle. Yani wazembewazembe kutafuta.
3. Wanajiona kama miungu watu kisa wananyenyekewa na watu desperate wenye matatizo.
4. Wanategemea hela kutoka kwa watu wasio na uelewa, na maskini.
5. Wanapenda kuonekana wanafanya kazi ya tabu sana wakati walitaka wenyewe na wamesoma taratibu za utabibu.
6. Wengi ni average katika kila nyanja ya maisha..walifeli form 6 wakaenda urusi au imtu au kcmc au vichochoroni, wengine hata form 4 walifeli wakawa maclinical officers baadae wakajiendeleza wakawa ma md..mabwege wote hao..
7. Washamba
8. Wanalewa sifa za kijinga..wanaona dili kuvaa mikoti yao myeupe, kunyenyekewa..
9. Waigizaji
10. Hawatambui kuwa kazi yao ni wito..daktari wakweli anajitoa na kamwe haweki pesa mbele. Daktari wa kweli anauwaza utu wa binadamu na huduma yake ni ibada mbele ya Mungu ni mission. sasa mapimbi weru wa sikuizi dunianiii..

Mwisho napenda kuwaambia wadau wote kuwa, Dunia ilivyo kwa sasa hatuna madaktari, siyo tanzania wala marekani wala uropa, ni fani ya kishamba wanaosoma watu wasioweza kusurvive dunia ya kweli..na nitakapoumwa, nitajitibu, ikishindikana, nitaexpire kwenda ulimwengu mpya...wengine ongezeni list

hivi wewe una ubongo au kinyesi? Mods futeni huu tafadhali
 
Kuna Dr alimfanyia operation mke wangu,aisee alimsumbua kisa kaona uchi wake anataka ampe ndizi nyama.usumbufu umeondoka baada ya Dr kuhamishiwa mkoani.
 
Back
Top Bottom