Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,967
- 22,161
Kampuni ya ndege ya rwandair inatarajia kuanza kuja mara tano kwa wiki nchini tanzania'
habari zilizotufikia zinasema kampuni ya rwandair ambayo imekuwa ikija tanzania mara nne
jumatatu jumatano ijumaa na jumapili imeongeza siku za jumanne kuanzia 1 aug na hivyo
kusaidia wale abiria waliokuwa wakipata shida siku za kurud...wakiongea kwa furaha baadhi
abiria wamesema wamefurahi kuona sasa wanauwezo wa kwenda rwanda na kwingineko wikiend na
nchini jumanne....pamoja na hiyo imetangaza special fare kwa abiria wa bujumbura
ambapo sasa unaweza kwenda pekee kwa doller 350 tax ikiwemo na kwenda na kurudi doller 567 tax ikiwemo
kwa mawasiliano zaidi wasiliana na namba ifuatayo
rwandair'
tel no +255 717 294948
habari zilizotufikia zinasema kampuni ya rwandair ambayo imekuwa ikija tanzania mara nne
jumatatu jumatano ijumaa na jumapili imeongeza siku za jumanne kuanzia 1 aug na hivyo
kusaidia wale abiria waliokuwa wakipata shida siku za kurud...wakiongea kwa furaha baadhi
abiria wamesema wamefurahi kuona sasa wanauwezo wa kwenda rwanda na kwingineko wikiend na
nchini jumanne....pamoja na hiyo imetangaza special fare kwa abiria wa bujumbura
ambapo sasa unaweza kwenda pekee kwa doller 350 tax ikiwemo na kwenda na kurudi doller 567 tax ikiwemo
kwa mawasiliano zaidi wasiliana na namba ifuatayo
rwandair'
tel no +255 717 294948