imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,052
Utanzania ni Utaifa na Ututsi ni Kabila mimi sio Mtutsi sema sipendi kuona Ubaguzi dhidi ya Mwafrika mwenzangu.Anajifanya Mtanzania na ni dereva kumbe Mtutsi
Utanzania ni Utaifa na Ututsi ni Kabila mimi sio Mtutsi sema sipendi kuona Ubaguzi dhidi ya Mwafrika mwenzangu.Anajifanya Mtanzania na ni dereva kumbe Mtutsi
Sasa mbona mnatumia slogan ya putin kule donbas?. Kwani watwa hawapo kile nani anawatetea. Hii kitu ilitakiwa ifanyike for 50 years silentlyUtanzania ni Utaifa na Ututsi ni Kabila mimi sio Mtutsi sema sipendi kuona Ubaguzi dhidi ya Mwafrika mwenzangu.
Huyo Muafrika mwenzako YEYE NDIO anaanza ubaguzi hivyo kubaguliwa asilalamike.Utanzania ni Utaifa na Ututsi ni Kabila mimi sio Mtutsi sema sipendi kuona Ubaguzi dhidi ya Mwafrika mwenzangu.
HAKUNA KABILA WALA LUGHA INAYOITWA TUTSI.Utanzania ni Utaifa na Ututsi ni Kabila mimi sio Mtutsi sema sipendi kuona Ubaguzi dhidi ya Mwafrika mwenzangu.
Hebu fafanua zaidi kwenye haya madai yako.HAKUNA KABILA WALA LUGHA INAYOITWA TUTSI.
Kila kabila lina lugha yake Wahaya wanaongea kihaya,wachaga kichaga,.Je watutsi wanaongea lugha gani?Hebu fafanua zaidi kwenye haya madai yako.
Wanubi ni wanchi gani na wakojeMimi nimepata Bahati ya Kuishi na Watutsi Wahutu Wazairwaa Wanyamlenge Wahima na Wanubi.
Wakazi wa Milima ya Nuba asili yao SudanWanubi ni wanchi gani na wakoje
sasa ao si wapo sudani hukoWakazi wa Milima ya Nuba asili yao Sudan
Sasa anaandika barua ya niniSio rahisi hata kidogo
Hapo umeongea kakaLicha ya upumbavu wa ccm, Tanzania kuna wazalendo hasa linapokuja suala la ulinzi na usalama so hapa tulicheza karata ya PUT YOUR FRIENDS CLOSE, BUT YOUR ENEMY CLOSER. Huyu aliingizwa kwenye jumuiya ili awe monitored vizuri.
Wametapakaa East and Central Afrique.sasa ao si wapo sudani huko
Wanubi wasudani kaskazini.Wanubi ni wanchi gani na wakoje
Hapa na mimi nimekuelewa. Kumbe kuna Makubaliano ya Ardhi kati ya M23 na Kabila. Kama hivyo wafungue kesi kwenye mahakama za kimataifa kuliko vita hii itasababisha mauaji na uadui kwa nchi zinahusika na vita (SADC).Kwa kifupi sana....
Rwanda(Kagame) ana HAKI na ni HALALI kukabidhiwa rasmi......kipande cha eneo la Congo...manake ndio makubaliano yaliyopo kwenye mkataba uliasainiwa mwezi March tarehe 23...baada ya kumsaidia L.kabila( senior)...kuingia madarakani.FULL STOP.
Ndugu ndugu chonde chonde na mzigo wa watu hahahaaa laaaaaaaWatutsi hawajui Uchawi, au hata kama wanaujua hawauendekezi, lakini Wanyamwezi na Wasambaa utanyweshwa hadi Maji ya Maiti ili umpende. mimi nimechovyva mote humo si unajua tena Deleva wa Loli 😂 Wakobwa wengi niliotembea nao ni Wanafunzi wa Vyuo maisha yao hawajawahi kushika Jembe la mkono unamkuta yuko Softy anateleza.
Ila niseme ukweli kuna Mrangi mmoja alinizuzua sana kwa Mapigo ya Kitandani kidogo niuze mzigo niliokuwa naupeleka Nairobi hiyo ilikuwa ni Arachuga.😆
Mwongo tu huyo Rwanda ni mwizi ndani ya congoHapa na mimi nimekuelewa. Kumbe kuna Makubaliano ya Ardhi kati ya M23 na Kabila. Kama hivyo wafungue kesi kwenye mahakama za kimataifa kuliko vita hii itasababisha mauaji na uadui kwa nchi zinahusika na vita (SADC).