imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 47,158
- 72,078
Huna habari tena ni bora unyamaze unakumbuka Oparesheni Kimbunga?Jamii za wafugaji huibiana mifugo. Huo ni uhalifu kama uhalifu mwingine.
Huna habari tena ni bora unyamaze unakumbuka Oparesheni Kimbunga?Jamii za wafugaji huibiana mifugo. Huo ni uhalifu kama uhalifu mwingine.
Kagame kayanyoosha Magaidi Msumbiji ndio itakuja hawa Wakongo wanaokesha Bar.Kagame atulie ili sindano imuingie ipasavyo.
Unataka kumaanisha nini ndugu?Mjue kwa maslaha ya wote, wakuu wa majeshi wenye nchi zilizokubaliana huwa wanaongea yanayojiri
Mjue mkuu wetu wa majeshi hakuongea kwa bahati mbaya hadharani
Na haya yanayokuja mmh mbona PaKa atakufa haraka
Nasubiri comment au uzi wa mtetezi wa Rwanda maana sijamsikia mda
Operation ya juzi tu hiyo, kwa taarifa tu, wanyarwanda wamepora sana ng'ombe mkoani kagera miaka ya 80-90, mazizi yalihamishwa.Huna habari tena ni bora unyamaze unakumbuka Oparesheni Kimbunga?
Tuambie wewe sababuImeanza tu kuwapiga bila sababu si ndiyo?
Waendelee kudai Ardhi ya CongoTuambie wewe sababu
Sawa,Hongereni JWTZ, futilia mbali hao majambazi wa madini ya DRC wanaojiita M23, ni vibaraka wa wa Rwanda hao mbwa
Hicho ni surface to air missile kinatumika kuangusha low frying object.
Hao m23 walikwishaitwa mara nyingi huko nyuma na Rais huyu kipindi anaingia madarakani hawakwenda wakidai yeye atekeleze makubaliano ya march 23 ambayo mengi kwa sasa hayatekelezeki.Kwanini serikali ya Kinshasa haitaki majadiliano na M23 bali wanataka kuendeleza vita?
Acha kudanganya Umma labda una chuki binafsi na Watutsi.Operation ya juzi tu hiyo, kwa taarifa tu, wanyarwanda wamepora sana ng'ombe mkoani kagera miaka ya 80-90, mazizi yalihamishwa.
Mimi najua wao ndo wanaongoza kuleta ng'ombe huku kwetu kufuata marishoAcha kudanganya Umma labda una chuki binafsi na Watutsi.
Wanyarwanda = watusi? rejea ulipo ni quote............tatizo siyo dogo. Btw ulikuwa na umri gani kipindi Mseveni anaingia mdarakani?Acha kudanganya Umma labda una chuki binafsi na Watutsi.
Unajua m23 agenda yao haina maana hata kidogo.Hao m23 walikwishaitwa mara nyingi huko nyuma na Rais huyu kipindi anaingia madarakani hawakwenda wakidai yeye atekeleze makubaliano ya march 23 ambayo mengi kwa sasa hayatekelezeki.
Na jeuri ya PK ndiyo iliyowaongezea kibri.
Operesheni Kimbunga kuna Watanzania walizilumiwa kila kitu na kupelekwa Rwanda niliwakuta pale kwenye kambi Nyakarambi yaani ni mambo ya kusikitisha.Mimi najua wao ndo wanaongoza kuleta ng'ombe huku kwetu kufuata marisho
Kwahiyo kwasababu madini hayawasaidii raia ni haki Yao kufa mpumbavu weweSawa,
Sasa tujadili baada ya M23 kuondoka.
Tunadhani hayo madini yatasaidia hao raia?
Afrika tuna shida mahali
NRA nilikuwa napanda mzigo na nazalisha.Wanyarwanda = watusi? rejea ulipo ni quote............tatizo siyo dogo. Btw ulikuwa na umri gani kipindi Mseveni anaingia mdarakani?
Yao wanataka kugawa Kongo.Hao m23 walikwishaitwa mara nyingi huko nyuma na Rais huyu kipindi anaingia madarakani hawakwenda wakidai yeye atekeleze makubaliano ya march 23 ambayo mengi kwa sasa hayatekelezeki.
Na jeuri ya PK ndiyo iliyowaongezea kibri.
🤣🤣🤣🤣 hio March 23.... haina mwaka?Kwa kifupi sana....
Rwanda(Kagame) ana HAKI na ni HALALI kukabidhiwa rasmi......kipande cha eneo la Congo...manake ndio makubaliano yaliyopo kwenye mkataba uliasainiwa mwezi March tarehe 23...baada ya kumsaidia L.kabila( senior)...kuingia madarakani.FULL STOP.
Kama Mr Slim anawatetea watusi wa DRC huoni dhahiri kuwa wapo kila mahali wananyonya data tuUnataka kumaanisha nini ndugu?
Na Zimbabwe Chief.. Hao ndio waliinusuru Congo isizame..Yao wanataka kugawa Kongo.
Ila ulikuwa mpango wa USA miaka ya 90. Na hicho ndicho kisababishi cha Second congo war. Baada ya kabila kugoma makubaliano ya kugawa congo. USA walimsupport Pk na kurudi drc kuanzisha vita ya pili , walikamata congo yote , ponea ya wacongo ilikuwa ni Angola chini ya general Joao de Matos.
Walikufa watu zaidi ya 5 million kule.
Tafuta "UN mapping report" ya congo utaona.