Ccm inapaswa kuona aibu na kutoka madarakani wasisubiri hata uchaguzi.Rwanda walianza na Q400 nne,moja kila siku night stop Dar,wakaongeza CRJ 900 mbili,B737-700 mbili na B737-800 mbili ma Leo wameingiza A332 katika fleet zao,hongera kwao Ni hatua kubwa...ATCL nidhamu ikiwepo tutafika huko..
Hahaha kuna jamaa mmoja nilishamuingiza chaka chuoni ,kudesa kuna raha na machungu yakehapana aisee ukiona rafiki yako anakupa desa afu yeye anakuja na desa na majibu mengine muogope sana