sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Rwanda sasa imeamua kucheza rau kwa kwa kuanza kuihujumu bandari ta Dar es salaam kwa kupandisha ushuru wa barbarani kwa magari ya mizigo yanayotoka Tanzania PEKEEE. hii ni kuanzia Lusumo hadi Kigari. kutoka dola za kimarekani 125 hadi dola 500. KAZI IPO......!!!