Ruvuma: Polisi yasema Muinjilisti aliyezuia Watoto kwenda shule bado anashikiliwa na hajapigwa na Askari

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limetoa ufafanuzi kuhusu Mtumishi wa Mungu Erick Manyanya (33) Mwinjilisti wa Kanisa la Country Living aliyeshikiliwa kwa tuhuma za kuwashawishi Wazazi kutowapeleka Watoto shule kwa kile alichodai Yesu anakaribia kurudi.

Wiki moja iliyopita, Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Ngollo Malenya aliagiza Muinjilisti huyo kutoka Kijiji cha Chengena ambaye pia alikuwa Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Kipitia JamiiFoorums.com, Mdau aliyejitambulisha ni ndugu wa mtuhumiwa huyo amedai ndugu yao amepigwa na Askari Polisi na afya yake si nzuri pia amekwama kupata dhamana hadi watakapotoa Tsh. 200,000.

Malalamiko hayo soma hapa - Ndugu yetu aliyekamatwa kwa kuzuia Watoto kwenda shule mbona hapewi dhamana na Polisi?

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, ACP Marco Chilya amesema mtuhumiwa bado yupo chini ya Jeshi hilo na kufafanua zaidi.

“Upelelezi bado unaendelea, kuhusu kumpiga Askari ampige kwa interest gani? Kwanza kesi kama hizo zinashughulikiwa na Dawati la Jinsia ambao wapo friendly na wanajichanganya na jamii.

“Hakuna Askari ambaye anataka mtuhumiwa afie mahabusu, kama ni mgonjwa atapelekwa hospitali chini ya ulinzi, atatibiwa atarejeshwa kuendelea na mchakato wake wa kisheria.

“Hivyo, hakuna kitu kama hicho, ingekuwa labda ni jambazi amepora au ameiba na kuna kitu tunataka inawezekana nguvu ya ziada ingetumika lakini siyo huyo, labda kama alipigwa na ndugu zake kabla hajakamatwa."

Madai ya kukwama kwa dhamana
Kamanda anasema “Hakuna dhamana inayotolewa kwa laki mbili wala haitolewi kwa hela, kama ndugu wana changamoto waende kwa OCD, inawezekana kuna watu ambao si Askari wanataka kutumia nafasi hiyo kufanya yao kwa mgongo wa Polisi."


Pia soma = Namtumbo: Wazazi waacha kupeleka Watoto Shuleni wakiaminishwa Yesu Kristo anakaribia kurudi
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limetoa ufafanuzi kuhusu Mtumishi wa Mungu Erick Manyanya (33) Mwinjilisti wa Kanisa la Country Living aliyeshikiliwa kwa tuhuma za kuwashawishi Wazazi kutowapeleka Watoto shule kwa kile alichodai Yesu anakaribia kurudi.

Wiki moja iliyopita, Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Ngollo Malenya aliagiza Muinjilisti huyo kutoka Kijiji cha Chengena ambaye pia alikuwa Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Kipitia JamiiFoorums.com, Mdau aliyejitambulisha ni ndugu wa mtuhumiwa huyo amedai ndugu yao amepigwa na Askari Polisi na afya yake si nzuri pia amekwama kupata dhamana hadi watakapotoa Tsh. 200,000.

Malalamiko hayo soma hapa - Ndugu yetu aliyekamatwa kwa kuzuia Watoto kwenda shule mbona hapewi dhamana na Polisi?

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, ACP Marco Chilya amesema mtuhumiwa bado yupo chini ya Jeshi hilo na kufafanua zaidi.

“Upelelezi bado unaendelea, kuhusu kumpiga Askari ampige kwa interest gani? Kwanza kesi kama hizo zinashughulikiwa na Dawati la Jinsia ambao wapo friendly na wanajichanganya na jamii.

“Hakuna Askari ambaye anataka mtuhumiwa afie mahabusu, kama ni mgonjwa atapelekwa hospitali chini ya ulinzi, atatibiwa atarejeshwa kuendelea na mchakato wake wa kisheria.

“Hivyo, hakuna kitu kama hicho, ingekuwa labda ni jambazi amepora au ameiba na kuna kitu tunataka inawezekana nguvu ya ziada ingetumika lakini siyo huyo, labda kama alipigwa na ndugu zake kabla hajakamatwa."

Madai ya kukwama kwa dhamana
Kamanda anasema “Hakuna dhamana inayotolewa kwa laki mbili wala haitolewi kwa hela, kama ndugu wana changamoto waende kwa OCD, inawezekana kuna watu ambao si Askari wanataka kutumia nafasi hiyo kufanya yao kwa mgongo wa Polisi."


Pia soma = Namtumbo: Wazazi waacha kupeleka Watoto Shuleni wakiaminishwa Yesu Kristo anakaribia kurudi
Sasa hao Polisi wanasubiri nini kumpiga huyo?
 
Hiyo kesi inahusisha dawati na watu wa ustawi wa Jamii, kesi ni minor hii. Hawana sababu ya kumtembezea rungu
Hapo kamanda anaposema "kama alipigwa basi inawezekana alipigwa na ndugu zake" ndio kwenye shida inawezekana washamtandika vya kutosha huko huko selo
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limetoa ufafanuzi kuhusu Mtumishi wa Mungu Erick Manyanya (33) Mwinjilisti wa Kanisa la Country Living aliyeshikiliwa kwa tuhuma za kuwashawishi Wazazi kutowapeleka Watoto shule kwa kile alichodai Yesu anakaribia kurudi.

Wiki moja iliyopita, Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Ngollo Malenya aliagiza Muinjilisti huyo kutoka Kijiji cha Chengena ambaye pia alikuwa Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Kipitia JamiiFoorums.com, Mdau aliyejitambulisha ni ndugu wa mtuhumiwa huyo amedai ndugu yao amepigwa na Askari Polisi na afya yake si nzuri pia amekwama kupata dhamana hadi watakapotoa Tsh. 200,000.

Malalamiko hayo soma hapa - Ndugu yetu aliyekamatwa kwa kuzuia Watoto kwenda shule mbona hapewi dhamana na Polisi?

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, ACP Marco Chilya amesema mtuhumiwa bado yupo chini ya Jeshi hilo na kufafanua zaidi.

“Upelelezi bado unaendelea, kuhusu kumpiga Askari ampige kwa interest gani? Kwanza kesi kama hizo zinashughulikiwa na Dawati la Jinsia ambao wapo friendly na wanajichanganya na jamii.

“Hakuna Askari ambaye anataka mtuhumiwa afie mahabusu, kama ni mgonjwa atapelekwa hospitali chini ya ulinzi, atatibiwa atarejeshwa kuendelea na mchakato wake wa kisheria.

“Hivyo, hakuna kitu kama hicho, ingekuwa labda ni jambazi amepora au ameiba na kuna kitu tunataka inawezekana nguvu ya ziada ingetumika lakini siyo huyo, labda kama alipigwa na ndugu zake kabla hajakamatwa."

Madai ya kukwama kwa dhamana
Kamanda anasema “Hakuna dhamana inayotolewa kwa laki mbili wala haitolewi kwa hela, kama ndugu wana changamoto waende kwa OCD, inawezekana kuna watu ambao si Askari wanataka kutumia nafasi hiyo kufanya yao kwa mgongo wa Polisi."


Pia soma = Namtumbo: Wazazi waacha kupeleka Watoto Shuleni wakiaminishwa Yesu Kristo anakaribia kurudi
"inawezekana kuna watu ambao si Askari wanataka kutumia nafasi hiyo kufanya yao kwa mgongo wa Polisi", watu hao wamo ndani ya kituo cha polisi na wanakusanya chao bila jasho! Amekwama kujibu.
 
Huyo mpuuzi anatakiwa apimwe kwanza akili ili ibainike chanzo cha kuwazuia watoto kwenda shule, huku yeye mwenyewe akiwa amesoma UDOM.

Halafu kuna baadhi watu wenye ngozi nyeusi; ni kama wamerogwa hivi eti!! Yaani dogo anapita mule mule kama alivyofanya yule mpumbavu mwinge wa Kenya; na wajinga wanamuamini!!
 
😂😂the way he talk ..huyu kamanda anajua ku explain hatok nje ya maadil... Hahah labda ndugu zak walimpga kabla haja enda polis😂😂😂😂..hahah sa si kesha waambia mtu wa namna ile ana being treated kiaj😂😂😂😂...*mchungaj kayakanyag...uhuru usizid ukawamatatzo..tutafte pesa jamn...


Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limetoa ufafanuzi kuhusu Mtumishi wa Mungu Erick Manyanya (33) Mwinjilisti wa Kanisa la Country Living aliyeshikiliwa kwa tuhuma za kuwashawishi Wazazi kutowapeleka Watoto shule kwa kile alichodai Yesu anakaribia kurudi.

Wiki moja iliyopita, Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Ngollo Malenya aliagiza Muinjilisti huyo kutoka Kijiji cha Chengena ambaye pia alikuwa Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Kipitia JamiiFoorums.com, Mdau aliyejitambulisha ni ndugu wa mtuhumiwa huyo amedai ndugu yao amepigwa na Askari Polisi na afya yake si nzuri pia amekwama kupata dhamana hadi watakapotoa Tsh. 200,000.

Malalamiko hayo soma hapa - Ndugu yetu aliyekamatwa kwa kuzuia Watoto kwenda shule mbona hapewi dhamana na Polisi?

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, ACP Marco Chilya amesema mtuhumiwa bado yupo chini ya Jeshi hilo na kufafanua zaidi.

“Upelelezi bado unaendelea, kuhusu kumpiga Askari ampige kwa interest gani? Kwanza kesi kama hizo zinashughulikiwa na Dawati la Jinsia ambao wapo friendly na wanajichanganya na jamii.

“Hakuna Askari ambaye anataka mtuhumiwa afie mahabusu, kama ni mgonjwa atapelekwa hospitali chini ya ulinzi, atatibiwa atarejeshwa kuendelea na mchakato wake wa kisheria.

“Hivyo, hakuna kitu kama hicho, ingekuwa labda ni jambazi amepora au ameiba na kuna kitu tunataka inawezekana nguvu ya ziada ingetumika lakini siyo huyo, labda kama alipigwa na ndugu zake kabla hajakamatwa."

Madai ya kukwama kwa dhamana
Kamanda anasema “Hakuna dhamana inayotolewa kwa laki mbili wala haitolewi kwa hela, kama ndugu wana changamoto waende kwa OCD, inawezekana kuna watu ambao si Askari wanataka kutumia nafasi hiyo kufanya yao kwa mgongo wa Polisi."


Pia soma = Namtumbo: Wazazi waacha kupeleka Watoto Shuleni wakiaminishwa Yesu Kristo anakaribia kurudi
o
 
Yesu yeye anasema
Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limetoa ufafanuzi kuhusu Mtumishi wa Mungu Erick Manyanya (33) Mwinjilisti wa Kanisa la Country Living aliyeshikiliwa kwa tuhuma za kuwashawishi Wazazi kutowapeleka Watoto shule kwa kile alichodai Yesu anakaribia kurudi.

Wiki moja iliyopita, Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Ngollo Malenya aliagiza Muinjilisti huyo kutoka Kijiji cha Chengena ambaye pia alikuwa Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Kipitia JamiiFoorums.com, Mdau aliyejitambulisha ni ndugu wa mtuhumiwa huyo amedai ndugu yao amepigwa na Askari Polisi na afya yake si nzuri pia amekwama kupata dhamana hadi watakapotoa Tsh. 200,000.

Malalamiko hayo soma hapa - Ndugu yetu aliyekamatwa kwa kuzuia Watoto kwenda shule mbona hapewi dhamana na Polisi?

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, ACP Marco Chilya amesema mtuhumiwa bado yupo chini ya Jeshi hilo na kufafanua zaidi.

“Upelelezi bado unaendelea, kuhusu kumpiga Askari ampige kwa interest gani? Kwanza kesi kama hizo zinashughulikiwa na Dawati la Jinsia ambao wapo friendly na wanajichanganya na jamii.

“Hakuna Askari ambaye anataka mtuhumiwa afie mahabusu, kama ni mgonjwa atapelekwa hospitali chini ya ulinzi, atatibiwa atarejeshwa kuendelea na mchakato wake wa kisheria.

“Hivyo, hakuna kitu kama hicho, ingekuwa labda ni jambazi amepora au ameiba na kuna kitu tunataka inawezekana nguvu ya ziada ingetumika lakini siyo huyo, labda kama alipigwa na ndugu zake kabla hajakamatwa."

Madai ya kukwama kwa dhamana
Kamanda anasema “Hakuna dhamana inayotolewa kwa laki mbili wala haitolewi kwa hela, kama ndugu wana changamoto waende kwa OCD, inawezekana kuna watu ambao si Askari wanataka kutumia nafasi hiyo kufanya yao kwa mgongo wa Polisi."


Pia soma = Namtumbo: Wazazi waacha kupeleka Watoto Shuleni wakiaminishwa Yesu Kristo anakaribia kurudi
Je?ampigie simu yesu amtolee hiyo 200000
 
Kwanini hamkutumia jamiicheck kuhakiki majibu ya rpc mnaamini haraka alichosema?! Maxence wewe umeonja shuruba za hawa jamaa wanawezaje kukuaminisha kirahisi hivyo kwamba hawajampa kisago na mshiko wanautaka?!
Polisi Tanzania hawajawahi kuwa wazuri hata siku moja si dawati wala cro wote walewale kipondo lazima upewe, matusi lazima uyaogelee namshiko lazima uwape si vinginevyo!

Hata huyo rpc alianzia gd kwahiyo anajua anachotetea kuwa ni kuficha yaliyo chumbani tuu baasi.
 
Back
Top Bottom