Ruto kuiga mfumo wa CCM kuongoza Kenya, kuwapa madaraka ya chama wananchi

Aliposema sema BOTTOM UP kumbe alimaanisha kuwamaliza wakenya kuanzia chini hadi Juu ! basi Mungu amjaalie sana kwenye huo mpango wake .

Zile tenzi alizokuwa anaimba ilikuwa geresha siyo , anachokitafuta atakipata haraka sana !
 
Chama cha Rais mteule Nchini Kenya Dkt. William Ruto cha United Democratic Alliance, - #UDA kimeahidi kufuata Mfumo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kuliongoza Taifa la #Kenya, Mwenyekiti wa Chama hicho JOHNSON MUTHAMA amethibitisha.

========

UDA Chairman Johnson Muthama has declared that the party leader, president-elect William Ruto will adopt the style of Tanzania’s ruling party - Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Speaking on Sunday, September 11, Muthama explained that the plan is to hand over the powers of the party to the people, who will have a say in the running of the party.

Consequently, the powers given to the UDA secretariat will be trimmed to avoid individuals making decisions guided by their individual interests.

"We want the people on the grassroots to defend this party and proclaim its ownership, not a few gust at the top speaking about the party and carrying it in their own pockets.

"They will drop it when they want and pull it back whenever they please. No!" Muthama elaborated.

The former Machakos Senator maintained that the hands-on approach would help to hold the party leadership accountable and grow a large and loyal fanbase.

He pointed out that KANU, which was the ruling party in the country for nearly six decades had attempted to borrow a leaf from CCM but failed because its top guns declined to relinquish their power to the people.

"KANU tried to do that but the push and the sealing of issues on the ground was not done in a massive way because the people at the top were still holding it from the top," he expounded.

CCM has enjoyed a massive and loyal support from the main land and Zanzibar, winning the last nine General Elections in Tanzania dating back to 1980 and has been in power for 42 years.

It won all polls by garnering more than 50 per cent with the lowest being in 2015, when the late John Pombe Magufuli bagged 58.46 per cent of the votes.

Magufuli, however, secured 84.4 per cent in the subsequent election in 2020. Notably, the highest percentile of votes secured by the party in an election was recorded in 1990 when incumbent Ali Hassan Mwinyi secured 97.78 per cent of the vote.

UDA's Ruto became the first ever deputy president to succeed a sitting president and on the first attempt at the country's top seat.

In in 1978, the late Daniel Arap Moi took over after Kenya's founding father Mzee Jomo Kenyatta died. Moi would rule the country for 24 years, until 2002, when the opposition ganged up against his iron-fist rule.

SOURCE: Kenyans


Hivi ni kweli madaraka ya chama cha CCM yapo kwa wananchi na sio kwa m'kiti wa chama??
 
Mara huku nabii hakubaliki kwao mara kule wanasema kitanda usichokilala bujji kunguni wake

Sasa sijui Ruto anatumia ipi hapo 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️
 
Kama ni kweli huyo Ruto anataka kuingia matatizoni, hakuna mkenya yuko tayari kutawaliwa kwa itikadi za ujamaa uchwara.
Naamini watachukua MAZURI mengi, utu, HAKI nk,

Mabaya ya CCM waachane nayo.

Pakiwa na Nia njema wakisaidiwa na KATIBA mpya Yao watatoboa.
 
Chama cha Rais mteule Nchini Kenya Dkt. William Ruto cha United Democratic Alliance, - #UDA kimeahidi kufuata Mfumo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kuliongoza Taifa la #Kenya, Mwenyekiti wa Chama hicho JOHNSON MUTHAMA amethibitisha.

========

UDA Chairman Johnson Muthama has declared that the party leader, president-elect William Ruto will adopt the style of Tanzania’s ruling party - Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Speaking on Sunday, September 11, Muthama explained that the plan is to hand over the powers of the party to the people, who will have a say in the running of the party.

Consequently, the powers given to the UDA secretariat will be trimmed to avoid individuals making decisions guided by their individual interests.

"We want the people on the grassroots to defend this party and proclaim its ownership, not a few gust at the top speaking about the party and carrying it in their own pockets.

"They will drop it when they want and pull it back whenever they please. No!" Muthama elaborated.

The former Machakos Senator maintained that the hands-on approach would help to hold the party leadership accountable and grow a large and loyal fanbase.

He pointed out that KANU, which was the ruling party in the country for nearly six decades had attempted to borrow a leaf from CCM but failed because its top guns declined to relinquish their power to the people.

"KANU tried to do that but the push and the sealing of issues on the ground was not done in a massive way because the people at the top were still holding it from the top," he expounded.

CCM has enjoyed a massive and loyal support from the main land and Zanzibar, winning the last nine General Elections in Tanzania dating back to 1980 and has been in power for 42 years.

It won all polls by garnering more than 50 per cent with the lowest being in 2015, when the late John Pombe Magufuli bagged 58.46 per cent of the votes.

Magufuli, however, secured 84.4 per cent in the subsequent election in 2020. Notably, the highest percentile of votes secured by the party in an election was recorded in 1990 when incumbent Ali Hassan Mwinyi secured 97.78 per cent of the vote.

UDA's Ruto became the first ever deputy president to succeed a sitting president and on the first attempt at the country's top seat.

In in 1978, the late Daniel Arap Moi took over after Kenya's founding father Mzee Jomo Kenyatta died. Moi would rule the country for 24 years, until 2002, when the opposition ganged up against his iron-fist rule.

SOURCE: Kenyans


Aige mifumo ya kwetu ktk umiliki wa Ardhi, atawasaidia sana maskini kuinuka.
 
Uda wako sawa kabisa. Kwa Hali iliyopo vyama vyote vinabebwa na ukabila na majina ya watu pamoja na family maarufu zikiwa na ukwasi mkubwa. Wananchi wa Kenya Huwa hawana jinsi zaidi ya kuangukia ktk makundi hayo. Tofauti kabisa na Tanzania chini ya CCM ambapo unaweza ukawa mchanga na ukawa diwani au mbunge usukumani. Ukawa mtoto wa family ya Nyerere ukashindwa ktk uchaguzi. Ukawa na Hela kibao ukachapwa na maskini Hadi ukabeba masufuria ya nyama ulizowapikia wajumbe😆. Ruto ni mpiganaji wa ukweli na Kwa hatua hizi UDA kitakaa madarakani Kwa muda mrefu sana. Hongera CCM Kwa kuwa chama Cha kuigwa Kwa misingi yake imara ya inclusiveness and harmonized ideology.
 
Chama cha Rais mteule Nchini Kenya Dkt. William Ruto cha United Democratic Alliance, - #UDA kimeahidi kufuata Mfumo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kuliongoza Taifa la #Kenya, Mwenyekiti wa Chama hicho JOHNSON MUTHAMA amethibitisha.

========

UDA Chairman Johnson Muthama has declared that the party leader, president-elect William Ruto will adopt the style of Tanzania’s ruling party - Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Speaking on Sunday, September 11, Muthama explained that the plan is to hand over the powers of the party to the people, who will have a say in the running of the party.

Consequently, the powers given to the UDA secretariat will be trimmed to avoid individuals making decisions guided by their individual interests.

"We want the people on the grassroots to defend this party and proclaim its ownership, not a few gust at the top speaking about the party and carrying it in their own pockets.

"They will drop it when they want and pull it back whenever they please. No!" Muthama elaborated.

The former Machakos Senator maintained that the hands-on approach would help to hold the party leadership accountable and grow a large and loyal fanbase.

He pointed out that KANU, which was the ruling party in the country for nearly six decades had attempted to borrow a leaf from CCM but failed because its top guns declined to relinquish their power to the people.

"KANU tried to do that but the push and the sealing of issues on the ground was not done in a massive way because the people at the top were still holding it from the top," he expounded.

CCM has enjoyed a massive and loyal support from the main land and Zanzibar, winning the last nine General Elections in Tanzania dating back to 1980 and has been in power for 42 years.

It won all polls by garnering more than 50 per cent with the lowest being in 2015, when the late John Pombe Magufuli bagged 58.46 per cent of the votes.

Magufuli, however, secured 84.4 per cent in the subsequent election in 2020. Notably, the highest percentile of votes secured by the party in an election was recorded in 1990 when incumbent Ali Hassan Mwinyi secured 97.78 per cent of the vote.

UDA's Ruto became the first ever deputy president to succeed a sitting president and on the first attempt at the country's top seat.

In in 1978, the late Daniel Arap Moi took over after Kenya's founding father Mzee Jomo Kenyatta died. Moi would rule the country for 24 years, until 2002, when the opposition ganged up against his iron-fist rule.

SOURCE: Kenyans


Watuulize watanzania tunsomjua Rais ajaye, hata kabla ya kura kupigwa.
 
CCM ina mfumo mmoja tu unaofanya kazi, ni ule wa WIZI wa kura !!
 
Naamini watachukua MAZURI mengi, utu, HAKI nk,

Mabaya ya CCM waachane nayo.

Pakiwa na Nia njema wakisaidiwa na KATIBA mpya Yao watatoboa.

Kwa hiyo huko CCM ndio kuna utu na haki, au nimekosea kusoma ulichoandika?
 
Kwakweli haujui, huwa wanatumia kalamu zile za Obama za Tshs 200 kukata majina yaliyoletwa na wananchi kwa mchakato wa gharama kubwa
Siamini kama kweli hajui, nahisi kama kuna usanii anafanya, hawa wakenya huwa wanatudharau sana kwenye mambo yetu, wanatuona kama kondoo..asije akajaribu kuwapelekea Wakenya wenzie hizi tabia za CCM, hatutaki wakimbizi wa kisiasa.
 
Chama cha Rais mteule Nchini Kenya Dkt. William Ruto cha United Democratic Alliance, - #UDA kimeahidi kufuata Mfumo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kuliongoza Taifa la #Kenya, Mwenyekiti wa Chama hicho JOHNSON MUTHAMA amethibitisha.

========

UDA Chairman Johnson Muthama has declared that the party leader, president-elect William Ruto will adopt the style of Tanzania’s ruling party - Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Speaking on Sunday, September 11, Muthama explained that the plan is to hand over the powers of the party to the people, who will have a say in the running of the party.

Consequently, the powers given to the UDA secretariat will be trimmed to avoid individuals making decisions guided by their individual interests.

"We want the people on the grassroots to defend this party and proclaim its ownership, not a few gust at the top speaking about the party and carrying it in their own pockets.

"They will drop it when they want and pull it back whenever they please. No!" Muthama elaborated.

The former Machakos Senator maintained that the hands-on approach would help to hold the party leadership accountable and grow a large and loyal fanbase.

He pointed out that KANU, which was the ruling party in the country for nearly six decades had attempted to borrow a leaf from CCM but failed because its top guns declined to relinquish their power to the people.

"KANU tried to do that but the push and the sealing of issues on the ground was not done in a massive way because the people at the top were still holding it from the top," he expounded.

CCM has enjoyed a massive and loyal support from the main land and Zanzibar, winning the last nine General Elections in Tanzania dating back to 1980 and has been in power for 42 years.

It won all polls by garnering more than 50 per cent with the lowest being in 2015, when the late John Pombe Magufuli bagged 58.46 per cent of the votes.

Magufuli, however, secured 84.4 per cent in the subsequent election in 2020. Notably, the highest percentile of votes secured by the party in an election was recorded in 1990 when incumbent Ali Hassan Mwinyi secured 97.78 per cent of the vote.

UDA's Ruto became the first ever deputy president to succeed a sitting president and on the first attempt at the country's top seat.

In in 1978, the late Daniel Arap Moi took over after Kenya's founding father Mzee Jomo Kenyatta died. Moi would rule the country for 24 years, until 2002, when the opposition ganged up against his iron-fist rule.

SOURCE: Kenyans

WAKENYA SIO MAITI KAMA WATANZANIA
WAKENYA SIO WAJINGA KAMA WATANZANIA
WAKENYA SIO WAPUMBAVU KAMA WATANZANIA
 
WAKENYA SIO MAITI KAMA WATANZANIA
WAKENYA SIO WAJINGA KAMA WATANZANIA
WAKENYA SIO WAPUMBAVU KAMA WATANZANIA
Kauli hiyo ni General, Usiongelee watz Kwa ujumla wao kiivyo.

Wajinga na WAPUMBAVU, maiti ni Wachache na wapo duniani kote Si Tz pekee.

Je Kingai, ziro, viongozi Serikali I ni watz, ni kati ya unaowaongelea??

Mbowe, Lissu, Lema, Ulimwengu, kijo bisimba ni kati ya watz, je pia ni miongoni mwa wote uliowasema??

Watanzania ni Wana wa Mungu aliye hai, ni Wabarikiwa. Ni Wacha Mungu.

Wapo watz walotekwa, wamefungwa ktk Vifungo vya ujinga, umaskini nk, hupaswi kuwaita majina hayo ndugu zako.

KAZI tunayoifanya ni kuwafumbua macho, kuwakatia minyororo walofungwa Ili wawe huru wapiganie HAKI zao.

Mungu ibariki TANZANIA, Ameeeen.
 
Jamaa amejazwa propaganda za CCM anaenda kuwadanganya nazo wakenya, ole wake!

Lakini kama anamaanisha tofauti, kwamba anataka wajitengenezee himaya yao ya utawala, walindwe na dola, huku wakiwateua rafiki zao, na watoto wa marafiki zao ili kuwaongoza wakenya, watavuna wanachopanda.

Hii Afrika sijui ina laana gani, wakipewa madaraka watoto wa mjini shida, wakipewa washamba, nao shida...

Kwa hali hii, naamini iko siku huko mbele ya safari, sisi waafrika wenyewe, tutawapigia kura wazungu warudi kututawala.

Naamini wengi hapa hawajamuelewa muthama (SI RUTO HUYO). Kenya, vyama huwa vya uchaguzi tu. Yaani baada ya Uchaguzi, hakuna anayejali kuhusu Chama. CCM, pamoja na mapungufu yake, ni chama ambacho kiko na Structures, kama vile KANU kilikuwa. Hii sikusema eti atatawala nchi vile CCM inatawala, bala chama chenyewe kitatawaliwa na kumilikiwa na WANACHAMA wala si WENYECHAMA.
 
Back
Top Bottom