mathewa
JF-Expert Member
- Sep 5, 2012
- 775
- 1,168
Hakuna WWIII. Maana hakuna atakayepona. Wote wanajua madhara ya vita. Hapo wanatafuta kuheshimiana tuPeople dont underestimate THE USA..why they keep silent kwani wao hawapendi show off za ugunduzi wa silaha zao?. haya ni maandalizi ya WWIII na source ni Syria time will tell cz military alliances already formed china,iran,russia on one hand na upande wapili ni USA Britain na NAto usimuache Saudi Arabia.