Rushwa ya kutisha Zanzibar Revenue Board - Zanzibar

znz

New Member
Oct 20, 2013
2
0
Ni jambo la kusikitisha sana, mwanzoni mwa mwezi huu wa kumi mwaka 2013, wafanyakazi wenzangu wamepokea kushwa ya dola za kimarekani LAKI MOJA NA ELFU KUMI (110,000) kutoka hoteli ya kitalii ijulikanayo kwa jila la KIWENGWA STRAND HOTEL LTD maarufu Bravo holet au sea club huko zaman, ili kutolipa deni la ushuru kiasi cha dola laki nne na elfu hamsini (450,000), ufisadi huu umeratibiwa na Manager ajulikanae kwa jina la STEFANO CILOMBINO, na fedha hizo zimelipwa kupitia kwenye compuni moja ya ukaguzi hapa znz, Waziri uko wapi? Yaani huyo manager ndio kazi yake kuhonga kwani nae anakuwa na mgao wake hii nimeipata hapa ofisini kwa rafiki yangu ambae mgao nae amepata na anasema bado kula dili lingine kiasi cha dola milion moja, wako kwenye mazungumzo, waziri fanya uchunguzi haraka.

Nenda kafuatilie jinsi fedha zilivyotoka kwenye hiyo hotel kisha kaulize malipo yalikuwa ya nini hapo ndio utajua ukweli, imeniuma sana kuona sisi tulioaminiwa kukusanya kodi za wananchi ndio tumegeuza wezi yaani kuna madudu mengi sana hapa Zrb, na inasemekana hata TRA nao walihongwa, jaman fanyeni ukaguzi wa haraka huyo manager ni mafya sana hafai anaonekana hapendi maendeleo ya wanzanibari ikiwekekana aondoshwe na sisi wafanyakazi tufukuzwe na kufunguliwa mashitaka, niko tayari kutoa ushirikiano kama uchunguzi utaanza na nitawataja wahusika hapa ofisini kwetu wote kama kufa acha nife kwa kuwatetea wazanzibar wenzangu.

Inauma sana kuona fedha nyingi kiasi hiki kinapotea alafu watu wanajigamba hapa ofisini wananunua magari ya kifahari wanajenga majengoo ya kifahari wakati mshahara wetu ni kiduchu. Wanasiasa fanyeni uchunguzi juu ya hili waziri njoo uombe kuangalia madeni ya hii hoteli utaoa jinsi vizi unavyofanywa hapa.
 
Una uhakika gani kuwa waziri hafahamu kuhusu ufisadi huu. Mambo ya unguja mengi ni syndicated wakubwa ndiyo hupata migao mikubwa.
 
znz hilo ni tatizo kubwa sio tu ZNZ bali hata TRA. Kwakifupi nikupongeze ingawaje inawezekana unesema baada ya kunyimwa mgao!

Sababu moja kubwa ya umaskini wa Tanzania ni hii. Pesa nyingi inapotea mikononi mwa wachache na wengi tukiwa maskini kutokana na ubinafsi.

Hizo taarifa ni nyeti na kama kweli PCCB ni wakweli katika utendaji wao, basi hii post imeshawafikia kwani viongozi walio wengi wanapita JF.

Jitihada nyingine unayoweza kuifanya ni kudrop email kwenye hii address:

dgeneral@pccb.go.tz

Sijui namba ya tip off anonymous ya Tanzania ni ipi. Hii ni muhimu kwani unaweza kushare information juu ya crime bila hata ya wewe mwenyewe kujulikana. Mwenye kuijua anaweza kukusaidia.
 
znz hilo ni tatizo kubwa sio tu ZNZ bali hata TRA. Kwakifupi nikupongeze ingawaje inawezekana unesema baada ya kunyimwa mgao!

Sababu moja kubwa ya umaskini wa Tanzania ni hii. Pesa nyingi inapotea mikononi mwa wachache na wengi tukiwa maskini kutokana na ubinafsi.

Hizo taarifa ni nyeti na kama kweli PCCB ni wakweli katika utendaji wao, basi hii post imeshawafikia kwani viongozi walio wengi wanapita JF.

Jitihada nyingine unayoweza kuifanya ni kudrop email kwenye hii address:

dgeneral@pccb.go.tz

Sijui namba ya tip off anonymous ya Tanzania ni ipi. Hii ni muhimu kwani unaweza kushare information juu ya crime bila hata ya wewe mwenyewe kujulikana. Mwenye kuijua anaweza kukusaidia.

hapana mimi sijapata hata sumni ni mtu wangu wa karibu ndio kapata mgao yeye imemuuma baada ya kuona hata manager wa hiyo hotel nae anamgao, hapa kwetu zrb hakufai kunanuka kabisa yani kushwa nje nje tena bila kificho
 
PCCB mwisho Chumbe.
Pale znz ipo taasisi yao ya kuzuia rushwa nadhan haijaanza kazi, lakin cha kushangaza ni kwamba wakati wanaajiriwa employees kwenye ile taasisi basi ili upate nafasi pale lazma utoe rushwa sasa sioni mantiki ya hio taasisi yao ya kuzuia rushwa.

Lakin sio hivyo tu bali hio dhana ya kutoa rushwa mbona ni mchezo wa kawaida tu.... Yaan ndugu yetu wewe unashangaa wakati hilo ni jambo la kawaida tu kwa znz au Tz.

TRA wanakula ZRB wanakula nadhan na wewe utazipata zile tu.... Kwa sbb huna wa kumpelekea kesi majority ni wezi.
 
Zanzibar kuna mamlaka ya kuzuia pale victoria garden watakupa ushikiano mkubwa
 
Rushwa haitaisha tanzania mpaka ccm iondoke madarakani!rwanda wameweza kudhibiti kwa kiasi kikubwa
 
Ni jambo la kusikitisha sana, mwanzoni mwa mwezi huu wa kumi mwaka 2013, wafanyakazi wenzangu wamepokea kushwa ya dola za kimarekani LAKI MOJA NA ELFU KUMI (110,000) kutoka hoteli ya kitalii ijulikanayo kwa jila la KIWENGWA STRAND HOTEL LTD maarufu Bravo holet au sea club huko zaman, ili kutolipa deni la ushuru kiasi cha dola laki nne na elfu hamsini (450,000), ufisadi huu umeratibiwa na Manager ajulikanae kwa jina la STEFANO CILOMBINO, na fedha hizo zimelipwa kupitia kwenye compuni moja ya ukaguzi hapa znz, Waziri uko wapi? Yaani huyo manager ndio kazi yake kuhonga kwani nae anakuwa na mgao wake hii nimeipata hapa ofisini kwa rafiki yangu ambae mgao nae amepata na anasema bado kula dili lingine kiasi cha dola milion moja, wako kwenye mazungumzo, waziri fanya uchunguzi haraka.

Nenda kafuatilie jinsi fedha zilivyotoka kwenye hiyo hotel kisha kaulize malipo yalikuwa ya nini hapo ndio utajua ukweli, imeniuma sana kuona sisi tulioaminiwa kukusanya kodi za wananchi ndio tumegeuza wezi yaani kuna madudu mengi sana hapa Zrb, na inasemekana hata TRA nao walihongwa, jaman fanyeni ukaguzi wa haraka huyo manager ni mafya sana hafai anaonekana hapendi maendeleo ya wanzanibari ikiwekekana aondoshwe na sisi wafanyakazi tufukuzwe na kufunguliwa mashitaka, niko tayari kutoa ushirikiano kama uchunguzi utaanza na nitawataja wahusika hapa ofisini kwetu wote kama kufa acha nife kwa kuwatetea wazanzibar wenzangu.

Inauma sana kuona fedha nyingi kiasi hiki kinapotea alafu watu wanajigamba hapa ofisini wananunua magari ya kifahari wanajenga majengoo ya kifahari wakati mshahara wetu ni kiduchu. Wanasiasa fanyeni uchunguzi juu ya hili waziri njoo uombe kuangalia madeni ya hii hoteli utaoa jinsi vizi unavyofanywa hapa.

kitengo cha kuzuia rushwa si kipo kaka?? mbona unaripoti hapa
 
Back
Top Bottom