Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
tusiwe waoga kiasi hiki
jaji au hakimu kujitoa katika kesi ni kawaida
JM mtu wa kazi nyingi na pia huenda ameona hatakuwepo tarehe zilizopangwa
tuwe na imani na mahakama kwa hili sina shaka Lema atarudi kuwa mbunge
garama ya kumtoa ubunge in kubwa kuliko ya kumrudishia ubunge
sidhani kama mahakama watafanya siasa katika hili.lets wait and see
jaji au hakimu kujitoa katika kesi ni kawaida
JM mtu wa kazi nyingi na pia huenda ameona hatakuwepo tarehe zilizopangwa
tuwe na imani na mahakama kwa hili sina shaka Lema atarudi kuwa mbunge
garama ya kumtoa ubunge in kubwa kuliko ya kumrudishia ubunge
sidhani kama mahakama watafanya siasa katika hili.lets wait and see