Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kwani ni kesi yake ya kwanza kujitoa katika maisha yake ya ujaji?
tuambie ni ya ngapi?
Kwani ni kesi yake ya kwanza kujitoa katika maisha yake ya ujaji?
Anaona ajitenge na mizengwe kwani kwa kesi hii itamchafu zaidi
Amuulize mwenzake upande mmoja wa mwili haufanyi kazi umekuwa kama jiwe
Nikweli kwavile Alianza na Mungu atamalizia na Mungu yeye anategemea Ndumba za Mungunasikia Lema anatumia Ndumba, kwa hali hii hata kama ningekuwa mimi ningejitoa .
Amuulize mwenzake upande mmoja wa mwili haufanyi kazi umekuwa kama jiwe
Aliye hukumu kesi ya lemanani tena huyo?
Aliye hukumu kesi ya lema
Aliye hukumu kesi ya lema
Kwani ulipia mtandao mwananchi linafaidikage, zaidi ya kukupa tu free service, ambayo unashindwa kuappreciate.Kwani Mtandao ni Bure?
Amuulize mwenzake upande mmoja wa mwili haufanyi kazi umekuwa kama jiwe
hakuna danadana hapo mkubwa mbona kitaeleweka?'sheria itafata mkondo wake mpaka kieleweke dec 4..na kama sheria ni msumeno ikate pande zote..2nachotaka ni haki itendeke.Hivi kwa nini wasimalize hiyo kesi kama ni kurudia uchaguzi ikajulikana? Kuna sababu yeyote ya kuendelea kusogezasogeza hii kesi? Au ndo danadana mpaka 2015?