snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,712
- 23,666
Snowhite mie nakupenda, unasemaje mama?
Nahisi we ni ndugu yake wakati ndio sasa na mwenzio kapona we unaanza!
Nahisi we ni ndugu yake wakati ndio sasa na mwenzio kapona we unaanza!
Toka hapa nani kakuita na umbea wako,? lol! Mmefitini hadi mmefanikiwa
Nichagulie hapo wawili. Lasivyo na hamishia kikosi upande wa huko unapo pataka
Alazwe mahali peponi RPC, hakujua kama angeuaua kwa kifo ambacho kingetokana na mkasa wa kimapenzi...
- Baba v
- mtambuzi
- erickb52
- c6
- Jeneneke
- figganigga
- kaizer
- judgement
- ruttashobolwa
- badili tabia
Jamaa ni bwabwa, Lol!Mkuu mi nimekuona kule love connection ukiapply love kwa Mpole sana, kwani naye kakutosa? amekuambia umuandikie email na sio pm au hukumuelewa. wewe kwa lara 1 ndo basi tena! hahahaaa...!!. mia
Sawa, nasubiriManoah !
Ngoja kesho tukae kama kamati ya watu wazima tuangalie namna utakavyopoza machungu!
Nitamuomba 52 akutafutie ka'mususu kadogo ambako hakajafumuliwa marinda !
Marinda ukafumue fumufumu we mwenyewe , wasemaje ?
Kwani nime fiicha?
Unataka kuona?kwani iko vipi? mia
ndio. nataka kuona. miaUnataka kuona?