MICHUZI: BREAKING NYUUZZZZZ: KAMANDA WA WA POLISI MKOA MWANZA AUWAWA NA MAJAMBAZI USIKU KUAMKIA LEOJmani sisi tulioko mbali, wekeni source ya hizo habari!
motoni hakuna amani...
kwan ww umejuaje anaenda moton?
Naona umeanza kutumia lugha ya kikristo hapo chini kwanini usitumie ile Lugha iliyotumiwa kwenye kile kitabu kilichokojolewa?
Hawa ma RPC ni motoni tu hata viongozi wa magamba nao ni kuni tu kwa waliyo wafanyia watanzania
Wakuu shusheni hapa na picha ya maiti yake tuamini ili watu tukanywe bia kwa ulaini weekend hii.
wangeanza na Andengenye, Shilogile na huyu Kamhanda..shenzi zao kabisa malipo ni hapa hapa duniani
Mwache afe,bado Kamuhanda!Kamanda wa Police Mkoa wa Mwanza Liberatus Barlow ameuwawa na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi.
Source tbc