Round tatu za APPLICATION za vyuo: Ina Implications zipi?

Kiraka Kikuu

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
5,904
1,976
Wadau,jana TCU wamefungua system yao tayari kwa application ya round ya tatu.
Tukumbuke application ilifanyika kwa round ya kwanza,nafasi zikabaki,ikaja second round,na sasa ni ya tatu!
Kuna maswali kadhaa muhimu ya kujiuliza:
1: Kwanini application imefanyika kwa round 3?
Tukumbuke kila muombaji alipewa nafasi ya kuchagua hadi vyuo vitano!
Sasa ina maana,mtu aliye kosa chaguo la kwanza hadi la tano ana sifa kweli?
2:Nini kimesababisha second round application kutotosheleza mahitaji?
Katika second round,applicants walipewa orodha ya vyuo vilivyo kuwa na nafasi,na pia system ilionesha kama mwanafunz ana sifa stahiki kwa kozi aliyo omba.
Further,kwa kila programme,namba stahk ikifikiwa,programme ilipotea kwenye list.
Then,iliwezekana vp watu wakahtajika ku apply tena kwa third round?
3: NINI LENGO LA TCU NA MTAZAMO/MUONO WAO KWA MUSTAKABALI WA ELIMU TZ?
Really,tunataka kujaza tu nafas ktk vyuo,hata kama sifa stahk hazjafkiwa?
Elimu yetu inaelekea wapi?
Karibuni kwa mjadala.
 
Inapotolewa round nyingine ya kuomba chuo haiwahusu tu wale walioomba na kukosa warudie tena na tena bali ata ambao hawakuomba kabisa kwa sbb mbali mbali it means nikama wana-extend muda wa ku-apply ili waliochelewa round za awali waweze kuomba. Kuna waliichelewa kwa sbb zifuatazo: 1 kukosa 50000 ya app 2 nauli na matumizi ya kutoka kjijini kuja town kusaka kadi za tcu 3 ukosefu wa elimu ya matumizi ya mtandao. Nk
 
Inapotolewa round nyingine ya kuomba chuo haiwahusu tu wale walioomba na kukosa warudie tena na tena bali ata ambao hawakuomba kabisa kwa sbb mbali mbali it means nikama wana-extend muda wa ku-apply ili waliochelewa round za awali waweze kuomba. Kuna waliichelewa kwa sbb zifuatazo: 1 kukosa 50000 ya app 2 nauli na matumizi ya kutoka kjijini kuja town kusaka kadi za tcu 3 ukosefu wa elimu ya matumizi ya mtandao. Nk

hilo nalo nenoo!
 
and this is an upcoming problem in our country yan sekta ya elim yashakuwa majanga kuanzia matokeo(yanashuka) mpk aplications nazo...mmh!
 
Inapotolewa round nyingine ya kuomba chuo haiwahusu tu wale walioomba na kukosa warudie tena na tena bali ata ambao hawakuomba kabisa kwa sbb mbali mbali it means nikama wana-extend muda wa ku-apply ili waliochelewa round za awali waweze kuomba. Kuna waliichelewa kwa sbb zifuatazo: 1 kukosa 50000 ya app 2 nauli na matumizi ya kutoka kjijini kuja town kusaka kadi za tcu 3 ukosefu wa elimu ya matumizi ya mtandao. Nk

Pia wapo ambao walikuwa jeshini hawakuweza kujaza...na waliopo ss hivi sijui itakuaje...
 
Kwa jinsi nilivyoelewa tcu wanafanya hivyo kwa sababu zifuatazo;
1.Bado nafasi za kusoma ktk vyuo zipo nyingi.
2.wapo walio apply coz ambazo si sahihi kwao(wakakosa) na wana vigezo vya kusoma coz nyingine.
3.na pia kuwapa nafasi wale ambao hawaja omba kabisa wapate nafasi pia.
 
Urudishwe utaratibu wa mwanzo vyuo vijitegemee tcu wasimamie tuuu....ili ushindani urudi yaani anaefanya vizuri aende chuo kizuri
 
mim nahc na vyuo vinakataa wanafunz kutokana na matokeo yao hata kama nafac zpo

Yeah! inawezekana... lakini unavyoapply kama huna sifa si unaandikiwa NO, it means kama umeandkiwa YES una vgezo, sasa vyuo vnakataa wanafunzi kwa sababu zipi wakati wana sifa na ndo mana tcu ikapeleka majina vyuoni!?
 
Inapotolewa round nyingine ya kuomba chuo haiwahusu tu wale walioomba na kukosa warudie tena na tena bali ata ambao hawakuomba kabisa kwa sbb mbali mbali it means nikama wana-extend muda wa ku-apply ili waliochelewa round za awali waweze kuomba. Kuna waliichelewa kwa sbb zifuatazo: 1 kukosa 50000 ya app 2 nauli na matumizi ya kutoka kjijini kuja town kusaka kadi za tcu 3 ukosefu wa elimu ya matumizi ya mtandao. Nk

Mkuu kalipeni,sababu na. 1 na 2 hazina ukweli,kwani application zinazo fuatia hakuna kununua kadi mpya,zinatumika zile zile za awali.
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi nilivyoelewa tcu wanafanya hivyo kwa sababu zifuatazo;
1.Bado nafasi za kusoma ktk vyuo zipo nyingi.
2.wapo walio apply coz ambazo si sahihi kwao(wakakosa) na wana vigezo vya kusoma coz nyingine.
3.na pia kuwapa nafasi wale ambao hawaja omba kabisa wapate nafasi pia.

mkuu baghozed,inawezekana ni kweli nafas zikawa bado nyingi,lakini,hao ambao hawaku apply course sahihi kwa round zote mbli,huku ukzingatia kuwa system ilikuwa ikionesha elligibility ya kila course,wako makn na smart kiasi gani?
Tukija hapo kwa ambao hawakuomba nafas,then Deadline maana yake nini?
 
Last edited by a moderator:
and this is an upcoming problem in our country yan sekta ya elim yashakuwa majanga kuanzia matokeo(yanashuka) mpk aplications nazo...mmh!

Acha roho mbaya mkuu.Waache waende kwani huko vyuoni si kuna mitihani?Kama watachagua wasio na sifa si ni lazima kitaeleweka tu huko huko chuo?wasiwasi wako ni nini?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kwenye kuomba ndugu kuna makosa mengi tunafanya hasa wengine huomba wajaziwe na wenzao hivyo makosa kwenye kujaza ni kawaida,pia deadline ilapowekwa na wanapoona lengo halijatimia hapo ndipo round zinapoanza,na kwa kuongezea hapo ninavyoona walifkiria pia kuwa kuna wakati system yao ilikua bize sana na wengine kushindwa kuomba kwa wakati waliotaka.
Ila hizo zote ni dhana tu UKWELI WANAO TCU.
 
mim nahc na vyuo vinakataa wanafunz kutokana na matokeo yao hata kama nafac zpo

hakuna chuo kinachokataa mwanafunzi ww! hata ukiwa na 2.0 saivi unachukuliwa .we unadhani pesa za kuendeshea vyuo watapata wapi kama wakikataa wanafunzi? Tena kwa taarifa yako private versities wanatamani kuchukua hata 1.5
 
hakuna chuo kinachokataa mwanafunzi ww! hata ukiwa na 2.0 saivi unachukuliwa .we unadhani pesa za kuendeshea vyuo watapata wapi kama wakikataa wanafunzi? Tena kwa taarifa yako private versities wanatamani kuchukua hata 1.5
yawezekana kwa hvyo private versities! ushahid ni rafk yangu ana dv 3:15 ali apply Udsm na Ardhi 1st round akakosa wakat faculty aliyoomba haijajaa na xo utasemaje et wanachukua tu! Na yupo tena ktk third round
 
yawezekana kwa hvyo private versities! ushahid ni rafk yangu ana dv 3:15 ali apply Udsm na Ardhi 1st round akakosa wakat faculty aliyoomba haijajaa na xo utasemaje et wanachukua tu! Na yupo tena ktk third round

vyuo vina upungufu wa selected applicants takribani 30,000 kwa hiyo kwa namna yoyete hilo gap lazima lipunguzwe kama sio kuzibwa
 
wanafunzi waliokuwa targeted na tcu saiv wanaelekea kuisha,ni wale waliomaliza shule kitambo wakakosa nafasi kutokana na uchache wa vyuo.tunakoelekea mbele huko udahili utapungua na kuna baadhi ya vyuo vitafungwa kwa kukosa pesa za kujiendesha manake applicants watakuwa kutoka mashuleno tu(flesh)
 
Mim nilivoelewa ni kwamba tcu,wanalengo nzuri kiasi,lakini ukiangalia sifa za kujiunga na elimu ya juu,kwa tcu ee,mbili.sasa hizo EE mbili baathi ya vyuo kama udsm,na matawi yake,wanakataa,cha msingi tcu wangeweka sifa ambazo vyuo visingekuwa vinadauti.lakini pia tukumbuke Elimu yetu,ndio tatizo,wafunzi wengi waomaliza kidato cha sita wanakosa sifa za kujiunga na vyuo vikuu,asa sifa zile kubwa zenye ushindani.na lengo la serikali ni kuakikisha vijana wengi wanajiunga na elimu ya juu.
 
Back
Top Bottom