William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Nakuhakikishia siyo King Maker, he is not learned, but bright and smart, anza kuamka wewe, mwamshe baba na mama ili waamshe chama uone moto utakao waka humo ndani. Jamaa ni habari nyingine, kama Mkulu anabow down kwa huyu jamaa, naamini unakokwenda one day, you will too.
- Labda mkuu ungewasaidia kuwaamsha baba na mama yako kwanza,halafu ukajisaidia na wewe mwenyewe kabla ya kuwekeza kwenye kampuni ya Mwakyembe ili kushindana na huyu Kingmaker wako, si umeona mlivyoadhirika na unavyolalama kila kona!
Respect!
Wazee wa sauti ya umeme FMES!