Rostam hana nyumba Igunga!

RA hana hata ndugu, kama unabisha ukiwa Igunga uliza kwa kina rostam wapi kama utapelekwa.

Hii Kali! Lakini naskia hata Rafiki pia hana kule Igunga. Rafiki zake ni viongozi wa CCM wilaya na Halmashauri ya Wilaya Igunga.
 
Acheni kuleta habari za uzushi na uwongo. Rostam alizaliwa, alikulia na alisomea Igunga. Toka mababu na mababu zake ni wazaliwa wa Igunga. Wamejijenga sana Igunga hadi Mwanza na kufanya biashara wameanza muda mrefu uliopita. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Kama unakumbuka Rostam aliwahi kukiri kupitia kwenye vyombo vya habari kwamba utajiri wake una asili tangu enzi za miaka ya 1890. Baadhi yetu tukaibua hoja kwamba wakati wa miaka hiyo ni serikali gani iliyokuwa inatambuliwa na Watanganyika (Tanzania Bara)? Je hizo mali za miaka 1890 ambazo ni mwendelezo wa hadi za leo ni halali kwa Rostam? Na kuna Makala iliwahi kuchapishwa MwanaHalisi ikiwa na kichwa kisemacho 'Rostam ni Nani?' mwandishi akiwa ni Mbasha Asenga ikifafanua hili kwa kirefu.
 
this information is from a reliable source and is true.

HE Rustam Aziz has no shelter of his own in Igunga. hana hata banda la kuku.

hii ndiyo Tz.

hapa ndo kipindi naona jf si mahali pa great thinkers!!tulishakubaliana huyu bwana ni muiran!!!kama ana miradi ya kiuwekezaji Igunga atajenga vipi makazi?tufikiri kigreat thinkers!!!!nawakilisha!!!!
 
Kama unakumbuka Rostam aliwahi kukiri kupitia kwenye vyombo vya habari kwamba utajiri wake una asili tangu enzi za miaka ya 1890. Baadhi yetu tukaibua hoja kwamba wakati wa miaka hiyo ni serikali gani iliyokuwa inatambuliwa na Watanganyika (Tanzania Bara)? Je hizo mali za miaka 1890 ambazo ni mwendelezo wa hadi za leo ni halali kwa Rostam? Na kuna Makala iliwahi kuchapishwa MwanaHalisi ikiwa na kichwa kisemacho 'Rostam ni Nani?' mwandishi akiwa ni Mbasha Asenga ikifafanua hili kwa kirefu.


umenikumbusha jamaa mmoja aliwahi kutania kwa kusema, hiyo biashara ya 1890 ni biashara gani ya watumwa? teh he he he
 
Back
Top Bottom