Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF
Wengi watakuwa wanajua kuwa RA na wenzake ni vinala wa ufisadi EPA, KAGODA, RICHMOND na DOWANS MEREMETA ETC. Lakini ninachokiona ni kuwa ccm imeandaa mbinu ya kupoteza ushahidi wa hawa mafisadi kwa kutaka ROSTAM afukuzwe nchini.
Jana alijitokeza Paul Mkonda Mjumbe jana wa UVCCM kuwa ROSTAM AZIZ afukuzwe nchini sio RAIA WA TANZANIA why now? Nahisi huu ni mpango wa ccm kumpoteza ROSTAM ikiwa ndo ushahidi mkuu wakati wakijua ufisadi wake Je MAHAKAMA ZA TAZANIA CCM HAWAZIONI? ROSTAM akifukuzwa nchini sijui atapotelea wapi ushahidi ndo utakuwa umepotea.Tuanjua Mkonda katumwa kuongea lakini kwanini wasichukue hatua dhidi ya hawa majangili?
Kwanini NAPE nauye anapiga kelele majukwaani na TBC1 wakati mahakama wanaziona
Kwanini ROSTAM, LOWASA na Chenge wasipelekwe mahakamani??
Tafakari chukua Hatua.....
Wengi watakuwa wanajua kuwa RA na wenzake ni vinala wa ufisadi EPA, KAGODA, RICHMOND na DOWANS MEREMETA ETC. Lakini ninachokiona ni kuwa ccm imeandaa mbinu ya kupoteza ushahidi wa hawa mafisadi kwa kutaka ROSTAM afukuzwe nchini.
Jana alijitokeza Paul Mkonda Mjumbe jana wa UVCCM kuwa ROSTAM AZIZ afukuzwe nchini sio RAIA WA TANZANIA why now? Nahisi huu ni mpango wa ccm kumpoteza ROSTAM ikiwa ndo ushahidi mkuu wakati wakijua ufisadi wake Je MAHAKAMA ZA TAZANIA CCM HAWAZIONI? ROSTAM akifukuzwa nchini sijui atapotelea wapi ushahidi ndo utakuwa umepotea.Tuanjua Mkonda katumwa kuongea lakini kwanini wasichukue hatua dhidi ya hawa majangili?
Kwanini NAPE nauye anapiga kelele majukwaani na TBC1 wakati mahakama wanaziona
Kwanini ROSTAM, LOWASA na Chenge wasipelekwe mahakamani??
Tafakari chukua Hatua.....