Wandugu,
Kuna habari nimezipata Hivi sasa kuwa Mh. Rostam Aziz ameachia ngazi CCM pamoja na Ubunge .... Mwenye Taarifa Zaidi atusaidie Jamani!
Kama uwezi kudadavua habari hacha mambo yaende yenyewe, wewe soma tu, vyanzo yakinifu vitaleta habari. Umesikia wewe nani akusaidie kufafanua? tafakari kabla ya kukurupuka kimagamba.