Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Mambo ya kiroho ni magumu sana
DHAMBI zote zasameheka isipokua tu ile ya kumdharau ROHO MTAKITIFU
Kama Baba mwenyewe na Mwana mtakatifu ni sawa ama Wakuu kuliko Roho Mtakatifu, kwa nini hiyo iwe ndio dhambi isiyosameheka?
Na kwa nini kuwe kuna dhambi isiyosameheka?