Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Ni mpashkuna sana sitaki hata kumuona ishia huko huko Rose1980
Ni mpashkuna sana sitaki hata kumuona ishia huko huko Rose1980
Ni mpashkuna sana sitaki hata kumuona ishia huko huko Rose1980
hawanioni tena MMU. jukwaa linaboa kweli lile. nyambaaf!
hawanioni tena MMU. jukwaa linaboa kweli lile. nyambaaf!
Unalako jambo wewe
halaf wewe ukiendelea kubishana bishana na yule jamaa (jina kapuni) nitakupiga kibuti ujue. namaanishaif you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.
A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!!
signecha imeziabyuzi alama za mshangao
Ha ha ha ha ha Chit-Chat raha kweli unajiongelea unavyotaka
kule MMU atabaki mwanakijiji tu. hakyanani mbunge wetu ni chademaHa ha ha ha ha Chit-Chat raha kweli unajiongelea unavyotaka
fafanua hapo red.ngoja nikaoshe vyombo narudi Dena eeehh....enjoy chit-chat.....
ngoja nikaoshe vyombo narudi Dena eeehh....enjoy chit-chat.....
kule MMU atabaki mwanakijiji tu. hakyanani mbunge wetu ni chadema
We acha tu huyo dada alichonifanyia najua mwenyeweHaya yamekusibu yapi tena my bro??
halaf wewe ukiendelea kubishana bishana na yule jamaa (jina kapuni) nitakupiga kibuti ujue. namaanisha
fafanua hapo red.
Nakusubii usijali mwaya