Rodney Mutie Mengi memorial hospital

Super H

JF-Expert Member
Oct 6, 2012
1,070
405
Wakuu heshima kwenu,

Kuna hospital ya moyo ilikuwa ijngwe pale Mashine tools njia panda ya Machame na ujenzi wake ulianza msingi tu ikawa ndio mwisho wake.

Na kwa nilivyomsikia mzee Mengi kwa kinywa chake miaka 2~3 iliyoita wakati walikiwekeana saini ya mkataba na madakitari wa india ni kuwa Mzee Mengi alikuwa ajenge jengo na wahindi walete madakitari na vifaa.

Kuna mdau anajua kilichotokea hata ujenzi kusimama?ila naamini mzee Mengi hawezi kukosa pesa ya ujenzi.

Kama kuna anayejua atiririke hapa maana niliziona furusa nyingi za pesa kwa wakaazi wa moshi na nchi kiujumla kwani hakuna mgonjwa angepelekwa tena nje ya nchi
 
RMMMH ilikusudiwa kuwa hospitali ya magonjwa ya moyo ambalo ndilo lilikuwa tatizo la Hyt Rodney ninavyojua mimi; lakini mradi wa kupeleka wagonjwa wa moyo India na South Africa na kwingineko ni very lucrative kwa wakubwa wa nchi hii kwa hiyo ikaonekana RMMMH ingevuruga chakula cha wakubwa wakaipiga vita kwa visingizio vingi tu ili watu waendelee kwenda India na kwingineko; kwa kifupi ndio maana Tanzania Heart Institute pale dar nayo "ilinyongwa" kiaina na mwanzilishi wake Dr Ferdinand Masao aka"kolimbwa"; akafa kwa msongo wa mawazo na udhalili mkubwa katikati ya lindi la madeni; NHC ilimfungia hospitali kwa deni kubwa sana na vifaa vyake vilivyokuwa bandarini nafikiri baada ya kifo chake vimeshaibwa! Madaktari wengi maarufu unaowajua hawakuhudhuria hata mazishi yake; jiulize kwa nini?!
Hiyo ndio Tanzania yetu; RIP Dr Ferdinand Masao

Wakuu heshima kwenu,

Kuna hospital ya moyo ilikuwa ijngwe pale Mashine tools njia panda ya Machame na ujenzi wake ulianza msingi tu ikawa ndio mwisho wake.

Na kwa nilivyomsikia mzee Mengi kwa kinywa chake miaka 2~3 iliyoita wakati walikiwekeana saini ya mkataba na madakitari wa india ni kuwa Mzee Mengi alikuwa ajenge jengo na wahindi walete madakitari na vifaa.

Kuna mdau anajua kilichotokea hata ujenzi kusimama?ila naamini mzee Mengi hawezi kukosa pesa ya ujenzi.

Kama kuna anayejua atiririke hapa maana niliziona furusa nyingi za pesa kwa wakaazi wa moshi na nchi kiujumla kwani hakuna mgonjwa angepelekwa tena nje ya nchi
 
RMMMH ilikusudiwa kuwa hospitali ya magonjwa ya moyo ambalo ndilo lilikuwa tatizo la Hyt Rodney ninavyojua mimi; lakini mradi wa kupeleka wagonjwa wa moyo India na South Africa na kwingineko ni very lucrative kwa wakubwa wa nchi hii kwa hiyo ikaonekana RMMMH ingevuruga chakula cha wakubwa wakaipiga vita kwa visingizio vingi tu ili watu waendelee kwenda India na kwingineko; kwa kifupi ndio maana Tanzania Heart Institute pale dar nayo "ilinyongwa" kiaina na mwanzilishi wake Dr Ferdinand Masao aka"kolimbwa"; akafa kwa msongo wa mawazo na udhalili mkubwa katikati ya lindi la madeni; NHC ilimfungia hospitali kwa deni kubwa sana na vifaa vyake vilivyokuwa bandarini nafikiri baada ya kifo chake vimeshaibwa! Madaktari wengi maarufu unaowajua hawakuhudhuria hata mazishi yake; jiulize kwa nini?!
Hiyo ndio Tanzania yetu; RIP Dr Ferdinand Masao

nalikumbuka kidogo hili Sakata,inasikitisha sana...
 
RMMMH ilikusudiwa kuwa hospitali ya magonjwa ya moyo ambalo ndilo lilikuwa tatizo la Hyt Rodney ninavyojua mimi; lakini mradi wa kupeleka wagonjwa wa moyo India na South Africa na kwingineko ni very lucrative kwa wakubwa wa nchi hii kwa hiyo ikaonekana RMMMH ingevuruga chakula cha wakubwa wakaipiga vita kwa visingizio vingi tu ili watu waendelee kwenda India na kwingineko; kwa kifupi ndio maana Tanzania Heart Institute pale dar nayo "ilinyongwa" kiaina na mwanzilishi wake Dr Ferdinand Masao aka"kolimbwa"; akafa kwa msongo wa mawazo na udhalili mkubwa katikati ya lindi la madeni; NHC ilimfungia hospitali kwa deni kubwa sana na vifaa vyake vilivyokuwa bandarini nafikiri baada ya kifo chake vimeshaibwa! Madaktari wengi maarufu unaowajua hawakuhudhuria hata mazishi yake; jiulize kwa nini?!
Hiyo ndio Tanzania yetu; RIP Dr Ferdinand Masao

mkuu nashkuru kwa ufafanuzi,nimejifunza jambo hapa
_nchi ngumu hii
 
RMMMH ilikusudiwa kuwa hospitali ya magonjwa ya moyo ambalo ndilo lilikuwa tatizo la Hyt Rodney ninavyojua mimi; lakini mradi wa kupeleka wagonjwa wa moyo India na South Africa na kwingineko ni very lucrative kwa wakubwa wa nchi hii kwa hiyo ikaonekana RMMMH ingevuruga chakula cha wakubwa wakaipiga vita kwa visingizio vingi tu ili watu waendelee kwenda India na kwingineko; kwa kifupi ndio maana Tanzania Heart Institute pale dar nayo "ilinyongwa" kiaina na mwanzilishi wake Dr Ferdinand Masao aka"kolimbwa"; akafa kwa msongo wa mawazo na udhalili mkubwa katikati ya lindi la madeni; NHC ilimfungia hospitali kwa deni kubwa sana na vifaa vyake vilivyokuwa bandarini nafikiri baada ya kifo chake vimeshaibwa! Madaktari wengi maarufu unaowajua hawakuhudhuria hata mazishi yake; jiulize kwa nini?!
Hiyo ndio Tanzania yetu; RIP Dr Ferdinand Masao

hebu tusaidie kwa kina zaidi. Hii ya Mengi waliifanyia ufisadi gani? Maana ninavyomjua mengi isingewezekana kutosikia lolote kama angekuwa amefanyiwa mizengwe. Haiwezekani kuwa Mengi mradi huu ulimshinda?
 
Yaani kuna laana zingine watu wanazikimbilia na kuziomba..nna wasio na uwezo wa India je??
 
Mungu atazidi kuwaangaza si mnaona baada ya watoto wao kuwa mateja wameleta kitengo cha Methodon (spell check) pale Mwananyamala we unadhani wamejikuta tu kwa kuwaonea huruma vijana.

Maskini Mungu atatulinda tu.
 
Inasikitisha kuona serikali inashindwa kuleta maendeleo na kupiga vita maendeleo pia yaani inauma mno hasa kwa watu wahali ya chini
 
hebu tusaidie kwa kina zaidi. Hii ya Mengi waliifanyia ufisadi gani? Maana ninavyomjua mengi isingewezekana kutosikia lolote kama angekuwa amefanyiwa mizengwe. Haiwezekani kuwa Mengi mradi huu ulimshinda?

Kwa kweli the nitty grityy siwezi kuziweka hapa; custodian wake ni Dr Mengi mwenyewe; lakini itoshe tu kusema hapa kwamba hiyo haikuwa mara ya kwanza kwa dr. mengi kupigwa mizengwe na wakubwa wa nchi hii; kama unamkumbuka Wilson Masilingi wakati huo akiwa waziri wa Utawala bora katika serikali ya Mkapa; alihakikisha dr. mengi hakubaliwi kuchukua hoteli ya Kilimanjaro Dar; hadi kumtishia maisha dr, mengi kwamba yeye ni waziri mwenye dhamana ya usalama wa taifa angemshughulikia! Na swala la mchezo mchafu Dr Mengi alilitamka hadharani katika kikao kimoja kikubwa cha wawekezaji na washirika wengine wa maendeleo mjini dar!

Wanaosema Tanzania kwanza ni kwa maslahi ya matumbo yao na kujihami; hawana maana ya kusema "Mtanzania kwanza"; A true false start in Africa; read Tanzania!

My soul cries for my beloved country!
 
Kwa kweli the nitty grityy siwezi kuziweka hapa; custodian wake ni Dr Mengi mwenyewe; lakini itoshe tu kusema hapa kwamba hiyo haikuwa mara ya kwanza kwa dr. mengi kupigwa mizengwe na wakubwa wa nchi hii; kama unamkumbuka Wilson Masilingi wakati huo akiwa waziri wa Utawala bora katika serikali ya Mkapa; alihakikisha dr. mengi hakubaliwi kuchukua hoteli ya Kilimanjaro Dar; hadi kumtishia maisha dr, mengi kwamba yeye ni waziri mwenye dhamana ya usalama wa taifa angemshughulikia! Na swala la mchezo mchafu Dr Mengi alilitamka hadharani katika kikao kimoja kikubwa cha wawekezaji na washirika wengine wa maendeleo mjini dar!

Wanaosema Tanzania kwanza ni kwa maslahi ya matumbo yao na kujihami; hawana maana ya kusema "Mtanzania kwanza"; A true false start in Africa; read Tanzania!

My soul cries for my beloved country!

Mengi hupenda kutumia karata ya "uzawa" ili kupendelewa. katika kesi ya masilingi, Mengi alikuwa analazimisha apewe taarifa za tenda pinzani ili aongeze dau kitu ambacho ni kinyume na sheria. Masilingi alifikia hatua ya kumsaidia kwa kumtonya "ongeza hela", lakini yeye bado tu akataka apewe specific figure ya dau kubwa, sasa hilo lingewezekana vipi?

Katika hili nalo, nadhani itakuwa premature kusema kuwa serikali ndio imeleta mizengwe, tungeshasikia "kipindi maalum"....
 
Back
Top Bottom