ha ha ha..movie inaitwa Jan Ki Kasaamanother new movie begins.....
mwisho wa siku staring lazima abaki hai akifa mbwa anachukua ustaa
na staring ni wa kike jambazi kuu pia mwanamke.......ha ha ha..movie inaitwa Jan Ki Kasaam
Nakumbuka katika uchaguzi wa 2010 huyu kijana Miraji alishutumiwa kuhusika katika juhudi za kuchakachua kura kwa kutumia kompyuta. Vilevile kuna mkuu wa shirika la mawasiliano naye alihusishwa na kashfa ya kutuma sms nyingi za propaganda chafu. Hizi habari ambazo Marando ameziweka wazi si za kupuuziwa ukichukulia kwamba ccm imashutumiwa na kujulikana kutumia mbinu chafu ili iendelee kutawala katika himaya yake ya kuwafanyia maovu Watanzania.
Hana lolote huyo mhasibu wa ccm. Huyu jamaa alikua hana umaarufu ndio maana amekuja na stail ya kuzua mambo bungeni. Kwani ana hatari gani kwa cdm mpaka atishiwe kifo? Hio ni janja ya kufunika ishu ya EPA
naunga mkono hoja,me-raji ndo anaweza kuwa anahusika
Siyo 5mt bali 5Km
ndg mbona unazungumzia mambo kirahis rahis ivo!Inasadikika amenunua mtambo Israel unaoweza kuingiliana na simu ya mtu yoyote kwa mita 5, na ndo aliyehusika kumtumia Nchemba mesej za vitisho vya mauaji kupitia simu za wabunge wa chadema,
Loh...nimeamini TBL ni noumer sana.yaani washikaji wamekata kilaji weee hadi zikawatuma waite press conference.
Mtambo wa kutuma fake SMS ....huh?...cooomon marando punguza ulabu mzee.THERE IS NO SUCH A THING.
Bora angesema application,software but mtambo?..no man.
Kwa kujua anasema uongo ndo maana akakataa kutaja jina kwa kuogopa Lawsuit.
Am not buying this mtambo story.