Wana JF, kuna tume iliundwa na aliyekuwa Waziri Mkuu ndugu Lowasa kufuatilia uimara wa majengo (ujenzi wa kufuata taratibu za kihandisi) mara baada ya kuanguka kwa jengo kule Changómbe. Mbali ya kuunda tume Mheshimiwa pia alimtimua Mhandisi wa Manispaa ya TMK. Ripoti yake vipi, bado haijatoka au ndo ilikuwa "sponging"?