Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="606">
</td> <td align="right" width="139">photos</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">MJUMBE wa Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) taifa, Ridhiwani Kikwete, jana aliwasimika makamanda wapya wanne wa UVCCM, Kata ya Kijitonyama katika mkutano wa hadhara uliofanyika shule ya Msingi Kijitonyama, jijini Dar es Salaam.
Makamanda walisimikwa katika mkutano huo ni Shyrose Banji, Tonny Ngombale Mwiru, Reule Nyaurawa pamoja na Philip Komanya.
</td></tr></tbody></table>
</td> <td align="right" width="139">photos</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
Makamanda walisimikwa katika mkutano huo ni Shyrose Banji, Tonny Ngombale Mwiru, Reule Nyaurawa pamoja na Philip Komanya.
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Wanachama na mashabiki wa CCM wakijimwaya na burudani katika mkutano huo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mbunge wa Kinondoni, Idd Azzan mwenye shati la kijani (kulia) akikaribishwa katika hafla hiyo. Kushoto (aliyevaa sare ya CCM) ni Shyrose Banji, ambaye naye alisimikwa ukamanda wa UVCCM Kata ya Kijitonyama
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Shyrose Banji akicheza kiduku wakati wa kumsubiri mgeni rasmi.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Baada kuwasili, mgeni rasmi alizindua shina la CCM la wakereketwa la madereva wa teksi wa Kijitonyama.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Bendera ikipandishwa na mgeni wa heshima kuashiria kufunguliwa kwa tawi hilo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Shyrose Banji akisimikwa ukamanda kwa kuvalishwa gwanda maalum la ukamanda.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Kamanda mpya, Tonny Ngombale Mwiru, akisimikwa kwa kuvishwa gwanda na kofia za chama chake...
Wanachama na mashabiki wa CCM wakijimwaya na burudani katika mkutano huo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mbunge wa Kinondoni, Idd Azzan mwenye shati la kijani (kulia) akikaribishwa katika hafla hiyo. Kushoto (aliyevaa sare ya CCM) ni Shyrose Banji, ambaye naye alisimikwa ukamanda wa UVCCM Kata ya Kijitonyama
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Shyrose Banji akicheza kiduku wakati wa kumsubiri mgeni rasmi.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Baada kuwasili, mgeni rasmi alizindua shina la CCM la wakereketwa la madereva wa teksi wa Kijitonyama.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Bendera ikipandishwa na mgeni wa heshima kuashiria kufunguliwa kwa tawi hilo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Shyrose Banji akisimikwa ukamanda kwa kuvalishwa gwanda maalum la ukamanda.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Kamanda mpya, Tonny Ngombale Mwiru, akisimikwa kwa kuvishwa gwanda na kofia za chama chake...
</td></tr></tbody></table>